Fountain Gate Princess shida ni washambuliaji

KOCHA wa Fountain Gate Princess, Camil Mirambo amesema mashindano ya Samia Women Cup yaliyofanyika mkoani Arusha yamemuonyesha mwanga wa eneo lipi anapaswa kulifanyia kazi kwa haraka. Mashindano hayo yalifanyika Machi 4 hadi  7 yakijumuisha timu nne ambazo ni Yanga Princess iliyochukua ubingwa kwa kuitandika JKT Queens mabao 3-1, Simba Queens iliyomaliza nafasi ya tatu na…

Read More

Mastaa Yanga walia na Simba kuwanyima mamilioni

KAMA kuna kitu kinachowauma mastaa wa Yanga ni kitendo cha watani wao, Simba kuamua kuikacha mechi ya Ligi Kuu ya Dabi ya Kariakoo iliyokuwa ipigwe juzi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa,  Dar es Salaam. Pambano hilo la Ligi Kuu Bara, lilipangwa kupigwa juzi Jumamosi ikiwa ni mechi ya marudio kwa msimu huu, baada ya awali…

Read More

Wakongwe wakemea Kariakoo Dabi kuahirishwa kienyeji

HUKO mtandaoni bado mashabiki wa soka wana hasira kutokana na kuahirishwa kwa pambano la Dabi ya Kariakoo iliyokuwa ipigwe juzi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, huku baadhi ya wadau wakiwamo wakongwe wa soka waliwaka kwa waliokwamisha mechi kupigwa wakidai wamezingua. Wapo wanaoamini Simba imezingua kwa upande mmoja kuamua kususia mchezo mapema kabla ya taarifa ya…

Read More

UKWELI KUHUSU UMEME KUTOKA KENYA

Baada ya kauli ya Rais Samia ya kununua umeme kutoka Kenya, kumeibuka mjadala mkali. Nimemtafuta mtaalamu serikalini afafanue. Naye ameniambia hivi: Ununuzi wa umeme kutoka Kenya kwa ajili ya mikoa ya kaskazini ya Tanzania unaweza kusababishwa na sababu kadhaa za kiufundi, kiuchumi, na kimkakati, licha ya uwepo wa vyanzo vya ndani kama Mtera, Kidatu, na…

Read More

Wanafunzi wanaodaiwa kumlawiti mwenzao waendelea kuhojiwa

Kibaha. Wanafunzi wawili kutoka Miono, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani, wanaendelea kufanyiwa mahojiano na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi mwenzao wakiwa wanacheza usiku. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Salim Morcase, leo Jumapili, Machi 9, 2025, wanafunzi hao wanadaiwa kutekeleza kitendo hicho hivi karibuni usiku,…

Read More