Utelekezaji familia: Tatizo ni mwanamke au mwanamume?

Mwanza.  Tatizo la utelekezaji wa familia limeendelea kuwa mjadala usio na jawabu la moja kwa moja, huku pande zote mbiliwanaume na wanawake zikirushiana lawama. Kila kundi lina sababu zake, likidai kuwa upande mwingine ndio chanzo cha changamoto hii inayozidi kuathiri jamii. Wanawake wanaamini kuwa mzigo wa lawama unapaswa kubebwa na wanaume, wakidai kuwa wao ndio…

Read More

Siku tano za Makalla kupoza joto la uchaguzi CCM Dar

Dar  es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla ametumia ziara ya siku tano Mkoa Dar es Salaam kufanya mikutano ya ndani. Hiyo ilikuwa ziara ya tatu ya Makalla kuifanya katika mkoa huo tangu kuchaguliwa kuwa mlezi wa mkoa huo kichama, ya kwanza aliifanya kwenye maandalizi ya kuelekea…

Read More

Serengeti Breweries Limited (SBL) Yatambuliwa Katika Tuzo za Rising Woman kwa Kukuza Usawa wa Kijinsia.

Serengeti Breweries Limited (SBL) imetambuliwa katika tuzo maarufu za Rising Woman, zilizoandaliwa na Mwananchi Communications Limited, kwa mchango wake mkubwa katika kukuza usawa wa kijinsia na ujumuishi. Tuzo hii inathibitisha dhamira ya SBL ya kujenga mazingira ya kazi yanayowawezesha wanawake kushiriki kikamilifu katika ngazi mbalimbali ndani na nje ya shirika. “Kutambuliwa kwa SBL katika tuzo…

Read More

Majaliwa awapa ujumbe viongozi wa dini

Manyara. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewasihi viongozi wa dini nchini waendelee kukemea vikali vitendo vyote ambavyo ni kinyume na maadili ya dini na utamaduni wa Mtanzania. Majaliwa ametoa rai hiyo leo Jumapili Machi 9, 2025 alipomwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika ibada ya kuwekwa wakfu na kutawazwa kwa Askofu wa Pili wa kanisa…

Read More

WIZARA YA FEDHA YASHIRIKI KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

  Wizara ya Fedha imeungana na Watanzania wengine kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, iliyofanyika kitaifa Jijini Arusha, ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza maadhimisho hayo yakiwa yamebeba kauli mbiu ya ‘’Wanawake na Wasichana 2025: Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji’’. Baadhi ya watumishi wanawake wa Wizara…

Read More

Rais Samia azindua mradi wa maji uliokwama miaka 20

Dar/Mwanga. Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza magumu yaliyopitiwa wakati wa utekelezaji wa mradi wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe, akisema kuna wakati ililazimika kusukumana, kusutana na hata kushitakiana na makandarasi. Historia inaonyesha mradi huo wa maji ulitolewa ahadi na Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete Mei 29, 2005 wakati akiomba kura kuingia madarakani kwa kipindi cha…

Read More