DC Mpogolo aliomba Kanisa la FPCT kumwombea Rais Dk. Samia

  MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo,  ameliomba Kanisa la  Free Pentecostal Church of Tanzania (FPCT) kumwombea Rais Dk. Samia Suluhu Hassan na taifa zima kwa ujumla  hasa wakati huu wa kuelekea katika Uchaguzi Mkuu. Mpogolo, ameyasema hayo,  alimpomwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila,  katika ibada ya maalumu ya kumsimika…

Read More

Ceasiaa Queens yalia na ratiba WPL

KOCHA wa Ceasiaa, Ezekiel Chobanka amesema mvurugano wa ratiba umeathiri kiasi kikubwa maandalizi ya mchezo dhidi ya Mlandizi Queens. Awali, mechi hiyo ilipangwa kuchezwa kwenye Uwanja wa TFF Kigamboni, Machi 12 lakini imesogezwa siku nne mbele huku sababu za kufanya hivyo zikiwa hazijulikani. Akizungumza na Mwanaspoti, Chobanka alisema kama timu wanapambana kupata mechi angalau moja…

Read More

MKUTANO WA VIONGOZI WA TAASISI WAFUNGWA

   Viongozi wa taasisi na mashirika ya umma wamekubaliana kuwa na jukumu la kuweka mazingira bora ya kiutendaji ili biashara ya kaboni na sekta ya mazingira kwa ujumla iweze kukua na kuleta tija nchini.   Hayo yamejiri wakati wa Mkutano wa Viongozi wa Taasisi na Mashirika ya Umma kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi na Biashara ya…

Read More

Yanga Princess imejipata | Mwanaspoti

UNAWEZA kusema Yanga Princess chini ya kocha Edna Lena ‘ Mourinho’ imeanza kujipata kutokana na muendelezo na ubora wanaouonyesha msimu huu. Mwanzoni mwa msimu Yanga ilianza vibaya Ligi Kuu (WPL) kwa mfululizo wa matokeo ikianza na sare ya 1-1 na Bunda Queens, 1-1 na Alliance Girls, 2-2 na Mashujaa na kupoteza kwa bao 1-0 dhidi…

Read More