Mambo sita anayohitaji kuyasikia mwanao

Kuna mtu aliwahi kunukuliwa akisema, ‘watoto ni watu wazima wenye miili midogo.’ Hakuwa amekosea. Huu ni ukweli ambao wengi wetu tunachelewa kuufanyia kazi. Ingawa hawawezi kusema wazi wazi, watoto wana mahitaji wasiyoweza kuyasema wazi, lakini tusipoyachukulia kwa uzito yanaweza kuleta madhara makubwa na kuharibu kabisa mwelekeo wa maisha yao.  Unaweza, kwa mfano, kumwambia mtoto neno…

Read More

Rais Samia azindua mradi wa maji uliokwama miaka 19

Mwanga. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezindua mradi mkubwa wa maji wa wilaya tatu za Same- Mwanga- Korogwe ambao utanufaisha wananchi zaidi ya 456,931. Mradi huo chanzo chake ni Bwawa la Nyumba ya Mungu, ulianza kutekelezwa mwaka 2014 na sasa awamu ya kwanza imekamilika ukiwa umegharimu zaidi ya Sh300 bilioni. Hatua hii imefikiwa baada…

Read More

Mido Biashara United akiri mambo magumu

KIUNGO mshambuliaji wa Biashara United, Pascas Wagana amesema wana kazi kubwa ya kukipambania kikosi hicho kubakia Ligi ya Championship, baada ya malengo ya awali ya kuirejesha Ligi Kuu Bara kuota mbawa. Akizungumza na Mwanaspoti, Wagana aliyewahi kuichezea pia Mbuni FC ya jijini Arusha, alisema kitendo cha kukatwa pointi 15, huku aliyekuwa rais na mfadhili wa…

Read More

Ndoa ya ‘majuu ilivyomtesa Aziz

Aziz ni kijana wa miaka 24 wa Kipalestina aliyekimbia udhalilishaji kwao akaishia kudhalilika majuu. Kisa hiki kinafikirisha, kusikitisha na kufundisha. Wapo wengi kama Aziz walioharibikiwa baada ya kuolewa wakidhani wameoa majuu. Aziz, akiwa hajui hata Kiingereza, alijikuta akijiingiza kwenye ndoa ya mateso. Nkwazi alimjua Aziz. Alikuwa rafiki wa kaka yake aliyemlalamikia kuwa mdogo wake alikuwa…

Read More

Wikendi ya Kutusua Kijanja Imefika

HATIMAYE leo hii ni siku ya wewe kuondoka na kitita cha mkwanja ndani ya Meridianbet ambapo mechi kibao za pesa zipo uwanjani kukupatia maokoto. Ingia Meridianbet na ubashiri sasa. Tukianza na ligi kuuu pendwa Duniani pale Uingereza yaani EPL leo hii mapema kabisa Manchester City watakuwa ugenini kumenyana dhidi ya Nottingham Forest ambapo mechi ya…

Read More

Matano agusia mambo mawili Ligi Kuu Bara

BAADA ya kukusanya pointi sita kwenye mechi mbili mfululizo nyumbani na ugenini, kocha mkuu wa Fountain Gate, Robert Matano amesema nafasi ya kushuka au kupanda katika nafasi kwa timu zote ni kubwa na bado inatishia mwelekeo wa Ligi Kuu Bara. Matano ameiongoza Fountain Gate kwenye mechi saba baada ya kukabidhiwa mikoba ya Mohamed Muya ambaye…

Read More

Bashiri na Meridian bet Leo – Global Publishers

Mechi kali leo hii Duniani zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Ligi kuu ya Ufaransa LIGUE 1 kama kawaida kitawaka leo ambapo Brest ataumana dhidi ya Angers huku tofauti yao ni pointi 6 pekee. Kila…

Read More

Ujumbe kwa wanawake wafanyakazi, watafutaji

Ninaposema mfanyakazi si lazima aliyeajiriwa na kusubiri mshahara wa mwisho wa mwezi, kuna wale ambao wamejiajiri wakifanya shughuli za hapa na pale zinazowasaidia kuendesha maisha yao na familia zao kwa ujumla. Awali kundi hili halikuwa kubwa, zamani jukumu kubwa lilikuwa kuhudumia familia, baba akienda kutafuta mama anabaki nyumbani kuangalia watoto na kuhakikisha kila kitu kinakwenda….

Read More