Azam FC morali juu, Kocha atamba

USHINDI wa mabao 4-0 walioupata Azam dhidi ya Tanzania Prisons umeleta ahueni kubwa kwa kikosi cha matajiri hao wa Chamazi, baada ya kupitia kipindi kigumu cha kutoa sare tatu mfululizo katika Ligi.Matokeo hayo yamezidi kuwaweka katika mbio za kusaka nafasi mbili za juu. Presha ndani ya Azam ilianza kupanda baada ya kikosi kushindwa kupata ushindi…

Read More

Kada CCM aliyemwagiwa tindikali aandika barua THBUB, ajibiwa

Moshi. Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Idrisa Moses maarufu Makishe, ameiandikia barua Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), akiiomba kuanza uchunguzi huru kuhusu tukio la kumwagiwa tindikali. Septemba 20, 2024 saa 2:00 usiku, watu wasiojulikana walimmwagia Makishe ambaye ni mkazi wa mjini Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro kimiminika kinachodhaniwa ni tindikali na…

Read More

WAFANYAKAZI WANAWAKE BARRICK WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA KUSAIDIA JAMII

Wafanyakazi wanawake wa kampuni ya Barrick nchini na wakandarasi wake wameshiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kwa kujikita kutoa msaada kwenye jamii sambamba na kujitolea muda wao kusaidia shughuli za kijamii ambapo baadhi yao wameshiriki maadhimisho ya kitaifa yaliyofanyika katika jiji la Arusha. Wanawake kutoka mgodi wa Barrick Bulyanhulu wametembelea hospitali ya rufaa ya…

Read More

Ushindani Azam, Tabora wamshtua kocha Singida

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amezitaja Azam na Tabora United kuwa ndizo timu zinazompa presha kwa sasa kutokana na ushindani uliopo wakiwania nafasi ya tatu ili kupata nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa. Ouma amesema hayo baada ya kuifunga Namungo bao 1-0 ugenini na kuifanya timu yake iendelee kusalia nafasi ya nne…

Read More

Aliyeua mke bila kukusudia jela miaka mitano

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Sumbawanga imemhukumu adhabu ya kifungo cha miaka mitano jela, Paulo John (40), baada ya kumkuta na hatia ya kumuua mkewe Helena Elias, bila kukusudia. Hukumu hiyo imetolewa Machi 3, 2025 na Jaji Abubakar Mrisha na nakala yake kupatikana jana kwenye mtandao wa mahakama. Paulo alikutwa na hatia baada ya…

Read More

MERIDIANBET KUKUPATIA MKWANJA MNONO LEO

BAADA ya jana kushuhudia mitanange kibao kwenye ligi mbalimbali, leo hii pia mechi kibao zinaendelea huku nafasi ya wewe kuibuka bingwa ikiwa kubwa. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. EPL pale leo hii ni moto wa quotes mbali kabisa ambapo Chelsea atakuwa pale Stamford Bridge kusaka ushindi dhidi ya Leicester City ambao wana hali…

Read More

Ukame wa mabao wamliza Kipenye

MSHAMBULIAJI wa Songea United, Cyprian Kipenye amesema anajisikia vibaya kutokana na ukame wa mabao unaomwandama katika kikosi hicho, licha ya kushukuru benchi la ufundi kwa kuendelea kumuamini, kumpa nafasi na kumjenga kisaikolojia. Akizungumza na Mwanaspoti, Kipenye alisema kama mshambuliaji huwa inamuumiza anapopitia kipindi kigumu cha kutokufunga mabao, japo anashukuru benchi la ufundi chini ya Kocha…

Read More

Bei za petroli, dizeli zapaa Zanzibar, Zura yatoa sababu

Unguja. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura) imesema bei za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa/ndege zimepanda kwa sababu ya kuongezeka gharama za uingizaji wa nishati hiyo nchini. Akitoa taarifa za mabadiliko hayo kuanzia  leo Jumapili, Machi 9, 2025, Kaimu meneja kitengo cha uhusiano Zura, Shara omar Chande…

Read More