Butiku amwelezea Profesa Sarungi, kuagwa Karimjee Dar

Dar es Salaam. Waombolezaji wameendelea kufika  nyumbani kwa Profesa Philemon Sarungi kutoa pole akiwemo Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, ambaye amesema Profesa Sarungi, alikuwa mtu mwadilifu na aliyependa nchi yake. Profesa Sarungi ambaye amewahi kuhudumu kama waziri wa wizara mbalimbali na mbunge wa zamani wa jimbo la Rorya alifariki Machi 5, 2025…

Read More

Miradi 12 kutekelezwa kwa hatifungani ya Sukuk Zanzibar

Unguja. Wakati Zanzibar ikianza rasmi usajili wa uwekezaji katika hatifungani inayofuata misingi ya Kiislamu (Zanzibar Sukuk), jumla ya miradi 12 yenye thamani ya Sh1.115 trilioni inatarajiwa kutekelezwa kupitia fedha za uwekezaji huo. Kati ya miradi hiyo, mitatu ipo chini ya Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi, saba ipo chini ya Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano…

Read More

Tanzania mwenyeji mkutano wa Fiata Rame 2025, mageuzi ya kidijitali kuangaziwa

Unguja. Wakati mkutano wa kimataifa wa Shirikisho la Vyama vya Mawakala wa Ushuru na Forodha Afrika Mashariki na Kati (Fiata Rame) ukitarajiwa kufanyika Zanzibar, uimarishaji ujuzi katika usafirishaji ni miongoni mwa mambo yanayotarajiwa kujadili kwa kina. Malengo mengine yatakayofikiwa ni kuchunguza mageuzi ya kidijitali, teknolojia mpya na suluhisho za ubunifu katika sekta ya vifaa ili…

Read More

Mamilioni katikati mwa Sahel na Nigeria wanakabiliwa na kupunguzwa kwa chakula huku kukiwa na shida ya ufadhili wa WFP – maswala ya ulimwengu

Mgogoro huo unazidishwa na kuwasili mapema kwa msimu wa konda – kipindi kati ya mavuno wakati kilele cha njaa. Njaa sugu inaendeshwa na migogoro, uhamishaji, kukosekana kwa utulivu wa uchumi na mshtuko mkubwa wa hali ya hewa, WFP Alisema, na mafuriko mabaya mnamo 2024 yaliyoathiri zaidi ya watu milioni sita kote Afrika Magharibi. Mapungufu ya…

Read More

Msichana wa Kitanzania anakumbwa na changamoto hizi

Dar es Salaam. Umewahi kujiuliza changamoto za msichana wa Kitanzania ni zipi? Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Girl Effect Rita Mbeba amezitaja kwa uchache akisema zikifanyiwa kazi jamii inaweza kubadilika. Akizungumza kuhusu siku ya wanawake, Mbeba anasema vijana wengi hawafikishi malengo yao na wengi wao hawamalizi masomo yao  kwa sababu jamii haitoi nafasi haiwapi nafasi…

Read More

Mlionunua tiketi za Dabi ujumbe wenu huu hapa

WAKATI mchezo wa Kariakoo Dabi ukiahirishwa, huku mashabiki wakiwa tayari wamekata tiketi swali lililopo ni watarudishiwa fedha zao au ndiyo wamepata hasara? Kufuatia maswali kuwa mengi nini kitafanyika, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe ametoa ujumbe uwafikie wale wote waliokata tiketi mapema akisema mfumo wa ununuaji ulisitishwa mchana, lakini wahusika wala wasiwe…

Read More

Wafanyabiashara walia kuahirishwa Dabi | Mwanaspoti

WAFANYABIASHARA wanaofanya shughuli zao Uwanja wa Benjamin Mkapa, wameonyesha masikitiko makubwa kufuatia kuahirishwa kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya Simba. Mchezo huo uliotarajiwa kuchezwa leo saa 1:15 usiku, umeahirishwa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) ambayo ilitoa taarifa yake saa sita kabla ya kufika muda wa mchezo uliopangwa. Kitendo…

Read More

Dk Slaa awapa kibarua Chadema kuhusu ‘No reform no election’

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa amewapa kibarua Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) kuhakikisha wanawaelimisha Watanzania kuhusu ajenda ‘No reform no election’  (bila mabadiliko, hakuna uchaguzi) inayolenga kushinikiza mabadiliko katika mfumo wa uchaguzi. Dk Slaa amesema kibarua hicho kitahusu pia, Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) na Baraza…

Read More