Licha ya dabi kuahirishwa, Yanga yatinga kwa Mkapa

LICHA ya kwamba Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kutangaza kuahirisha mchezo wa Kariakoo Dabi, timu ya Yanga imefika uwanjani kwa lengo la kucheza mechi hiyo iliyopangwa awali kuchezwa dhidi ya Simba. Mchezo huo uliopangwa kuchezwa leo Jumamosi Machi 8, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, umeahirishwa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kufuatia…

Read More

Kanuni zinavyoifunga Yanga, Simba | Mwanaspoti

Wakati Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara ikitangaza kuahirishwa kwa mchezaji wa watani wa jadi, Yanga na Simba uliokuwa uchezwe saa 1:15 usiku wa Jumamosi, Machi 8, 2025, Makamu wa Rais wa Yanga, Arafat Haji ameweka msimamo kuhusu kinachoendelea kwa sasa. Amesema atakuwa mtu wa mwisho ndani ya klabu hiyo kuamini kwamba, Yanga itashiriki tena…

Read More

Wananchi watishia kubomoa madarasa yenye nyufa Sengerema

Mwanza. Wakazi wa Kijiji cha Buzilasoga Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza wametishia kubomoa majengo chakavu yaliyopo katika Shule ya Msingi Buzilasoga ili kuepusha maafa kwa watoto wao wanaosoma shuleni hapo. Uamuzi huo wa kubomoa madarasa mabovu ambayo ni mawili, unakuja baada ya wananchi hao kutakiwa kuchanga Sh2,000 kila mmoja kwa ajili ya kutengeneza madawati ya…

Read More

Dk Nchimbi: Amani ya nchi iko mikononi mwa wanawake

Arusha. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema amani ya Taifa la Tanzania iko mikononi mwa wanawake. Amewataka wanawake wasichoke kufundisha, kukumbusha na kukemea pale wanapoona amani inahatarishwa. Dk Nchimbi amesema hayo leo Jumamosi Machi 8, 2025 wakati akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake (IWD) ambayo…

Read More

Mbowe, Dk Slaa waibua shangwe Bawacha

Dar es Salaam. Wanawake wa Chama cha Demokarsia na Maendeleo (Chadema), wamejumuika kusherehekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake. Wanawake hao waliovalia sare za vitenge wametoka mikoa ya Tanzania Bara na Zanzibar na  wamekusanyika leo Jumamosi Machi 8, 2025 katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Shughuli hiyo imehudhuriwa na mwenyekiti wa…

Read More

Askofu Amani awaasa wanawake kujiheshimu, kuyaishi maadili

Arusha. Askofu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, Isack Amani amewataka wanawake na wasichana nchini kujiheshimu, kujiamini na kusimama imara katika maadili wakijiepusha na vitendo vya kujidhalilisha kwa namna yoyote ile. Ametaka maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake (IWD) leo Machi 8, 2025 itumike kuzalisha mawazo chanya kuhusu wanawake na wasichana. Askofu huyo ameyasema hayo…

Read More

Syria ya baada ya Assad inakabiliwa na mtihani muhimu juu ya kuondoa silaha za kemikali-maswala ya ulimwengu

Mabalozi wa muhtasari, Izumi Nakamitsu, mwakilishi wa juu wa UN kwa maswala ya silaha, alikaribisha hatua zilizochukuliwa na mamlaka mpya ya nchi hiyo kuhusika na Shirika la kukataza silaha za kemikali ((OPCW) na fanya kazi kwa kufuata kabisa sheria za kimataifa. “Syria imeanza kuchukua hatua zake Kuelekea kusudi hili, “alisema, akisisitiza umuhimu wa kuchukua wakati…

Read More