Chanzo watendaji SMZ kutoelewana ofisini chatajwa

Unguja. Licha ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi kukemea viongozi wa umma kugombana ofisi, bado changamoto hiyo imeendelea kuibuka na kukwamisha kazi za umma. Akizungumza katika kongamano la pili la kiimani kwa viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) lililofanyika ukumbi wa Idrissa Abdulwakil Kikwajuni, Zanzibar…

Read More

Siri mauzo ya korosho ya Tanzania kupaa masoko ya nje

Dar es Salaam. Uongezaji wa thamani na kuongezeka kwa korosho zinazozalishwa kumetajwa kuwa sababu ya kupaa kwa mauzo ya zao hilo katika masoko ya nje. Mauzo ya korosho yalifikia Sh1.544 trilioni katika mwaka ulioishia Januari mwaka huu, ikiwa ni ongezeko kutoka Sh585.77 bilioni katika kipindi kama hicho mwaka uliotangulia, kwa mujibu wa ripoti ya hali…

Read More

Huu ndio uwanja mpya wa Singida BS

KLABU ya Singida Black Stars leo, Jumatatu imeandika historia mpya kwa kuzindua rasmi uwanja wake wa nyumbani hapa Mtipa unaotajwa kuwa wa kisasa zaidi katika mkoa wa Singida. Uzinduzi huu umepambwa na mchezo wa kirafiki kati ya wenyeji, Singida Black Stars, na mabingwa wa kihistoria wa Tanzania, Yanga. HUU NDIO UWANJA MPYA WA SINGIDA BLACK…

Read More

NEMC yataja sababu ugumu kudhibiti mifuko ya plastiki

Dodoma. Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limesema changamoto kubwa katika utekelezaji wa udhibiti wa matumizi ya mifuko ya plastiki nchini, ni kutokana na ukosefu wa mamlaka kamili ya kisheria. Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dk Immaculate Semesi, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya baraza…

Read More

Sababu mauzo ya korosho kupaa

Dar es Salaam. Uongezaji wa thamani na kuongezeka kwa korosho zinazozalishwa kumetajwa kuwa sababu ya kupaa kwa mauzo ya zao hilo katika masoko ya nje. Mauzo ya korosho yalifikia Sh1.544 trilioni katika mwaka ulioishia Januari mwaka huu, ikiwa ni ongezeko kutoka Sh585.77 bilioni katika kipindi kama hicho mwaka uliotangulia, kwa mujibu wa ripoti ya hali…

Read More

Bei ya kuku yachangamka, Idd el Fitri ikipiga hodi

Morogoro. Zikiwa zimebaki siku chache kufikia Sikukuu ya Idd, bei ya kuku wa kienyeji imeanza kupanda, huku wafanyabiashara wakidai kuwa upatikanaji wa kitoweo hicho ni mgumu kutokana na hali ya ukame. Akizungumza na Mwananchi leo, Jumatatu, Machi 24, 2025, mmoja wa wafanyabiashara katika Soko la Kingalu, Shukuru Khasim, amesema wiki mbili zilizopita bei ya kuku…

Read More

Fitinesi ya mastaa Tabora yamshtua Mzimbabwe

TABORA United imeshaanza maisha mapya na kocha wao mpya, Genesis Mangombe na jamaa ameshashtukia mambo fasta ndani ya kikosi chake. Mangombe ambaye ni raia wa Zimbabwe, ametua katika timu hiyo akichukua nafasi ya Mkongomani, Anicet Kiazayidi. Mangombe ameliambia Mwanaspoti kuwa, ameridhishwa na ubora wa wachezaji wake baada ya kuwaona kwenye vipindi vitatu tofauti vya mazoezi….

Read More