Kariakoo Dabi yaahirishwa, kupangiwa tarehe nyingine

KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi Kuu Bara (TPLB) imetangaza kuahirisha mchezo wa Kariakoo Dabi kati ya Yanga na Simba uliopangwa kuchezwa leo Jumamosi Machi 8, 2025, saa 1:15 usiku kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Kabla ya kuahirishwa kwa mchezo huo, Simba ilitoa tamko usiku wa kuamkia leo Jumamosi ikisema haitapeleka…

Read More

MKURUGENZI MKUU WA NSSF: DHAMIRA YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA NI KUHAKIKISHA WANANCHI WALIOJIAJIRI WANANUFAIKA NA HIFADHI YA JAMII

*Awapongeza wananchi kwa muitikio wa kujiunga na kuchangia ili kujiwekea akiba kwa maisha bora ya sasa na ya baadaye kupitia kampeni ya NSSF Star Mchezo Na MWANDISHI WETU, Arusha. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha Mshomba, amesema katika Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais…

Read More

Kariakoo Dabi yaahirishwa, kupangwa tarehe nyingine

Mechi ya watani wa jadi kati ya Yanga na Simba iliyokuwa imepangwa kuchezwa leo Jumamosi MachiĀ 8, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa imeahirishwa rasmi na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB). Uamuzi huu umetokana na sintofahamu iliyotokea baada ya klabu ya Simba kuzuiwa kuingia uwanjani kwa ajili ya kufanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo huo,…

Read More

Viongozi vyama vya ushirika wapewa somo kuzingatia sheria

Moshi. Viongozi wa vyama vya ushirika nchini wametakiwa kufanya kazi kwa weledi kwa kuzingatia mifumo ya sheria za ushirika na taratibu za kifedha ili kuepuka migogoro na upotevu wa rasilimali za vyama hivyo. Rai hiyo imetolewa jana Machi 7, 2025 na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, anayeshughulikia umwagiliaji na ushirika, Dk Stephen Nindi wakati…

Read More

Yanga, Simba yaahirishwa, kupangiwa tarehe nyingine

Mechi ya watani wa jadi kati ya Yanga na Simba iliyokuwa imepangwa kuchezwa leo Jumamosi MachiĀ 8, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa imeahirishwa rasmi na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB). Uamuzi huu umetokana na sintofahamu iliyotokea baada ya klabu ya Simba kuzuiwa kuingia uwanjani kwa ajili ya kufanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo huo,…

Read More

Hospitali ya Wilaya Nachingwea yapatiwa vifaa tiba

Nachingwea. Chama Kikuu cha Ushirika cha Runali kimetoa msaada wa vifaatiba katika Hospitali ya Wilaya ya Nachingwea ili kupunguza changamoto ya wagonjwa kusafiri umbali mrefu kutoka wilayani humo hadi Hospitali ya Ndanda mkoani Mtwara kwa ajili ya kupata huduma hizo. Chama hicho cha ushirika kinachojumuisha wilaya za Ruangwa, Nachingwea na Liwale, kimetoa msaada huo kikilenga…

Read More

Ngai: Simba inatuhujumu mapato | Mwanaspoti

Yanga imesisitiza kwamba haitakubali mchezo wa Dabi ya Kariakoo uliopangwa leo uahirishwe huku ikisema watani wao Simba wanaihujumu mechi hiyo ili kuwanyima mapYanga imesisitiza kwamba haitakubali mchezo wa Dabi ya Kariakoo uliopangwa leo uahirishwe huku ikisema watani wao Simba wanaihujumu mechi hiyo ili kuwanyima mapato.ato. Hayo yamesemwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga,…

Read More