WAWEKEZAJI WALIOKIUKA MKATABA RANCHI YA USANGU KUONDOLEWA

Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti akikagua mashamba ya kuzalishia Mifugo na Malisho kwenye Ranchi za Taifa Usangu wakati wa Ziara yake Machi 7, 2025 Wilayani Mbarali mkoani Mbeya.Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti akikagua mashamba ya kuzalishia Mifugo na Malisho kwenye Ranchi za Taifa Usangu na kushuhudia jinsi…

Read More

Hadi watu milioni moja wanapanga kurudi nyumbani kwa kukata tamaa – maswala ya ulimwengu

Kulingana na shirika la wakimbizi la UN, UNHCRWatu 600,000 wanaweza kuwa safarini katika miezi sita ijayo, kulingana na uchunguzi wake wa hivi karibuni. Msemaji wa UNHCR Celine Schmitt alisema Ijumaa kwamba watu watahitaji “makazi, kazi, shule, hospitali, umeme na maji safi” – yote ambayo yanakosekana baada ya miaka 14 ya mzozo wa raia. Alielezea kukutana…

Read More

Wakili ashinda rufaa kuhusu ubunge wa Cecil Mwambe

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani Tanzania, imeagiza kusikilizwa shauri la kikatiba lililokuwa limefunguliwa na Paul Kaunda, dhidi ya Spika wa Bunge na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), ambalo lilitupwa katika hatua ya pingamizi. Msingi wa shauri hilo ni hatua ya Spika wa Bunge wa wakati huo, Job Ndugai kumrejesha bungeni, mbunge wa Ndanda, Cecil…

Read More

Hali ilivyo maadhimisho ya siku ya wanawake Arusha

Arusha. Mamia ya wananchi wa Mkoa wa Arusha na mingine ya jirani wamejitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani (IWD), ambayo kitaifa yanafanyika jijini Arusha. Maadhimisho hayo yanafanyika leo Jumamosi Machi 8, 2025 katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid. Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. Mageti ya uwanja…

Read More

Yanga yasisitiza kupeleka timu kwa Mkapa leo

WAKATI Simba ikitangaza kutocheza mechi ya leo kwa kile ilichokiita kukiukwa kwa kanuni, wenyeji wa mchezo, Yanga wamesisitiza mechi ipo palepale na wao watapeleka timu uwanjani. Simba imefikia uamuzi huo kwa madai ya kuzuiwa kufanya mazoezi ya mwisho kama kanuni inavyoelekeza siku moja kabla ili kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga uliopangwa kufanyika leo, Jumamosi,…

Read More

Yanga yakomaa na Dabi, kupeleka timu Kwa Mkapa

Uongozi wa Yanga umesema kuwa mchezo wao dhidi ya Simba leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa uko palepale licha ya watani wao kutoa taarifa kuwa hawatocheza. Taarifa ambayo imetolewa na Yanga leo, Machi 8, 2025 imesema kuwa mchezo huo utachezwa kama kawaida kwa vile taratibu zimefuatwa. “Uongozi wa Young Africans Sports Club unapenda kuutaarifu Umma…

Read More