Hizi hapa Parokia 17 zilizomegwa Dar es Salaam kwenda Bagamoyo

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Jude Thadaeus Ruwa’ichi amezitaja Parokia zilizomegwa kutoka Jimbo Kuu la Dar es Salaam kwenda Jimbo jipya la Bagamoyo. Parokia hizo ni, Bahari Beach, ⁠Boko, Bunju, Kinondo, ⁠Madale, ⁠Mbopo, ⁠Mbweni Mpiji, ⁠Mbweni Teta, ⁠Mbweni, ⁠Mivumoni, ⁠Muungano, ⁠Nyakasangwe, Tegeta Kibaoni, ⁠Tegeta, ⁠Ununio, ⁠Wazo na ⁠Mbweni…

Read More

Vicoba chachu ya ukombozi wa wanawake kiuchumi

Dar es Salaam. Tunapoadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, kuna haja ya kutambua na kusherehekea mchango wa wanawake nchini katika kukuza uchumi wa familia na jamii kwa ujumla. Licha ya changamoto wanazokabiliana nazo, bado wamekuwa nguzo katika ustawi wa familia kupitia shughuli za kiuchumi, hasa kwa kutumia vikundi vya kijamii vya kuweka na kukopa (Vicoba). Kupitia…

Read More

Kutoka chupa za plastiki hadi vifaa vya ujenzi

Dar es Salaam.  Ni simulizi ya Hellena Silas, mwanzilishi na mkurugenzi wa Kampuni ya Arena Recycling, inayojihusisha na urejelezaji taka za plastiki kutengeneza vifaa vya ujenzi kama matofali na mbao mbadala. Bidhaa hizi zinatumia taka za plastiki na mchanganyiko wa malighafi nyingine. Kinachofanyika ni ushuhuda wa jinsi mawazo ya ubunifu, juhudi na mapenzi ya kweli…

Read More

SERIKALI YAKEMEA UBAGUA WATOTO WA KIKE KWENYE URITHI

Na Seif Mangwangi, Arusha SERIKALI kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imekemea tabia ya jamii katika maeneo mbalimbali nchini kuwabagua watoto wa kike kwa kutowapatia urithi wa ardhi na mali za familia jambo ambalo limekuwa likiibua migogoro mingi katika ngazi ya familia. Hayo yameibuka katika kliniki ya msaada wa kisheria kupitia wizara…

Read More

Mgogoro wa Dr Kongo unaacha akina mama na watoto wachanga wanaokimbilia Burundi – maswala ya ulimwengu

“Zaidi ya watu 63,000 sasa wamevuka nchini, Burundi, wakikimbia ukatilimzozo mbaya katika sehemu za mashariki mwa Dr Kongo, “alisema Imani Kasina, UNHCR Msemaji wa mkoa wa Mashariki na Pembe ya Afrika na Maziwa Makuu. Wakati wa kuongezeka kwa ukimbizi mkubwa wa wakimbizi Burundi ameona katika miongo kadhaa kwa sababu ya uhasama katika eneo lenye utajiri…

Read More

Bodi ya Ligi yatoa kauli sakata la Simba kugomea Dabi

SAKATA la Simba kugomea mchezo dhidi ya watani wao, Yanga, limechukua sura mpya baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kutoa tamko kwamba mechi hiyo ipo palepale kama ilivyopangwa. Simba ilitoa tamko usiku wa kuamkia leo ikisema haitaleta timu uwanjani kwenye mchezo huo kufuatia msafara wa kikosi  chake kuzuiwa jana usiku kufanya mazoezi ya…

Read More

Kukimbiana Simba, Yanga na utamu wake

KLABU ya Simba imetoa taarifa rasmi kwamba haitashiriki kwenye mchezo wa watani wa jadi uliopangwa kufanyika leo, Machi 8, 2025. Hii ni kwa sababu walishindwa kufanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo huo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara. Kwa mujibu wa maelezo yao, Simba kama mgeni wa mchezo huo walipaswa kufanya mazoezi ya…

Read More