Mzize, Ateba waibeba Dabi ya Kariakoo

MWISHO wa ubishi. Wakati pambano la Dabi ya Kariakoo likipigwa leo Jumamosi, huku kila upande ukitamba na washambuliaji wenye uchu mkubwa wa kufumania nyavu, Simba ikiwa na Leonel Ateba, Jean Ahoua na Steven Mukwala, wakati Yanga ina Clement Mzize, Prince Dube na Pacome Zouzoua. Pambano hilo linalopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam…

Read More

Dabi ya Kariakoo, mzani upo upande huu

MASHABIKI wa Yanga na Simba wanaendelea kusubiri kuona ni kitu gani kitatokea kabla ya timu hizo kushuka katika pambano la Ligi Kuu lkwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, leo. Mchezo huo huenda ukatoa taswira ya vita ya ubingwa kutokana na pengo la pointi lililopo baina yao, japo Yanga inaingia ikiwa na rekodi nzuri…

Read More

NYEPESI NYEPESI ZA DABI: Yanga yaihenyesha Simba kibabe

KWA sasa kuna kelele nyingi kuhusu Yanga kuifunga Simba mara nne mfululizo, lakini kama hujui ni, Simba iliwahi kuhenyeshwa kwa miaka mitano ikicheza mechi 12 mfululizo bila kuonja ushindi wowote mbele ya watani wao. Balaa hilo kwa Simba lilianzia Septemba 5, 1981 hadi ilipokuja kujikomboa Agosti 23, 1986 huku ikiwa imecheza mechi 12 mfululizo ikitoka…

Read More

Iwe isiwe, Kwa Mkapa kitawaka

UBABE, soka la kasi na burudani ndani na nje ya uwanja vinatarajiwa katika mchezo wa Dabi ya Kariakoo unaopigwa leo kuanzia saa 1:15 usiku kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kwa Yanga kuikaribisha Simba katika mchezo huo wa Ligi Kuu Bara. Mechi ya raundi ya 23 kwa msimu huu na wa 114 kwa…

Read More

Wanawake na Uchaguzi Mkuu… Kishindo 2025

Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani (IWD) leo, bado inashuhudiwa katika ngazi za uamuzi kuna idadi ndogo ya wanawake, vyama vya siasa vikitajwa kuchangia hali hiyo. Hata hivyo, wanawake vinara waliojikita mstari wa mbele kwenye masuala ya siasa, wamesema mwaka huu wamejipanga na kuhamasisha wengine…

Read More

Maandalizi ya Siku ya wanawake Yanoga Mkoani Arusha,Wizara ya ujenzi yatoa fursa kwa wanawake nchini.

  Na Jane Edward, Arusha  Waziri wa wizara ya maendeleo ya jamii jinsia wanawake na makundi maalum Dkt. Doroth Gwajima amesema maandalizi kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yamekamilika kwa asilimia miamoja na wanawake wa Arusha wako tayari kujitokeza kwa wingi kumlaki Mh. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan. Akizungumza na waandishi wa…

Read More