Vita ya Hamdi, Fadlu hapatoshi

KILA mtu anazungumza tukio moja tu kuhusu mechi kubwa Afrika Mashariki na Kati linalohusisha mechi ya Yanga na Simba. Huo utakuwa mchezo wa mwisho baina ya timu hizo kwenye ligi msimu huu ambapo mzunguko wa kwanza Yanga iliibuka na ushindi wa bao 1-0. Hata hivyo, kwenye mechi hiyo kocha wa Simba, Fadlu Davids ataingia kwenye…

Read More

NYEPESI NYEPESI ZA DABI: Simba mvua, Yanga Jumamosi

SIJUI ni maendeleo au kitu gani, lakini unaambiwa miaka kadhaa ya nyuma kulikuwa na imani flani zilizokuwa zikiwafanya mashabiki wa Simba na Yanga kubashiri matokeo ya mechi za Dabi ya Kariakoo za ligi kabla hata hazijachezwa. Enzi hizo siku ya kupigwa dabi iwe ni Jumapili kisha mvua inyeshe kabla ya mchezo huo, Simba ilikuwa ikiimini…

Read More

Wachoma nyama wa Arusha kutumia nishati safi, kuchomea nyama

Arusha. Katika hatua ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, wachoma nyama mkoani Arusha wameahidiwa kupewa majiko yanayotumia nishati safi kwa ajili ya kazi yao. Hayo yamesemwa leo Ijumaa Machi 7, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda wakati akikagua maandalizi ya nyama choma kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, ambayo kitaifa yatafanyika…

Read More

Kapo ya Aziz KI, Hamisa Mobeto yawania tuzo

SIKU chache baada ya kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI kufunga ndoa na mwanamitindo, Hamisa Mobetto kapo yao imewekwa kuwania tuzo. Wanandoa hao wanawania tuzo ya Africa Golden Awards katika kipengele cha kapo bora ya mwaka tuzo zitakazotolewa, Aprili 5 mwaka huu huko Kenya. Aziz KI na Hamisa wamechaguliwa kuwania tuzo hiyo ambayo pia…

Read More