Kisa Mzize, maskauti Sweden waivamia dabi

MASKAUTI wawili kutoka Sweden, Jamal Osman na Nahom Tesfaye, wameharakisha safari yao kurejea jijini Dar es Salaam ili kuja kumtazama kwa karibu mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize katika mchezo wa watani wa jadi dhidi ya Simba SC, maarufu kama Dabi ya Kariakoo.  Msimu huu Mzize amekuwa moto wa kuotea mbali, aliwavutia zaidi maskauti hao alipofunga…

Read More

PPRA yasisitiza matumizi ya mfumo wa ununuzi wa Nest

Dodoma. Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imevitaka vitengo vya ugavi vya sekretarieti ya mikoa, halmashauri na ngazi za serikali za mitaa kuhakikisha kuwa ununuzi wa umma unafanyika kwa kutumia mfumo wa kidijitali wa Nest kwa mujibu wa sheria. Hayo yamebainishwa leo Ijumaa Machi 7, 2025 jijini Dodoma na Mkurugenzi Mkuu wa PPRA,…

Read More

MAKALLA: HAKUNA MTU KUPITA BILA KUPINGWA

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kimefanya mabadiliko katika mchakato wa upatikanaji wa wagombea kuelekea uchaguzi mkuu, hakuna kupita bila kupingwa kwani zitapigwa kura za ndio na hapana kwa wagombea katika mchakato huo. Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Amos Makalla alieleza hayo leo Machi 7,2025 wakati akizungumza katika…

Read More

Shungu aionya Yanga, akimtaja Mpanzu Simba

KOCHA wa zamani wa Yanga, Raoul Shungu ameitahadharisha timu hiyo akiwaambia wawe makini na kiungo wa mshambuliaji wa Simba, Elie Mpanzu kutokana na uwezo wake wa kubadilisha mchezo aliokuwa nao DR Congo. Mpanzu aliyetua Simba dirisha dogo amekuwa akipata nafasi katika kikosi hicho tangu alipoanza kukitumikia huku akiweka rekodi ya kuhusika katika mabao manne akifunga…

Read More

Simu ya Ulimwenguni ya Kulinda Wasichana na Kulinda hatima zao – Maswala ya Ulimwenguni

Mapigano dhidi ya dhuluma ya msingi wa kijinsia yanahitaji juhudi za pamoja kutoka kwa serikali, biashara, jamii, na watu binafsi. Mikopo: Shutterstock Maoni na Mariama JobArteh (Serrekunda, Gambia) Ijumaa, Machi 07, 2025 Huduma ya waandishi wa habari SERREKUNDA, Gambia, Mar 07 (IPS)-Mnamo Machi 2000, Binta Manneh wa miaka 15 alikuwa na hamu ya kujaribu ustadi…

Read More