Papa Francis atoa kauli ya kwanza tangu alazwe hospitali

Rome. Papa Francis amewashukuru waumini na wasio waumini wa Kanisa Katoliki kwa kuendelea kumuombea afya njema tangu alipolazwa Februari 14,2025. Papa Francis (88) amelazwa katika Hospitali ya Gemelli mjini Roma akisumbuliwa na maradhi kwenye mfumo wa upumuaji. maradhi hayo yamesababisha asionekane hadharani kwa zaidi ya wiki tatu. Katika ujumbe wake wa sauti (audio) kwa waumini…

Read More

RIDHIWANI AKABIDHI VIFAA VYA MAENDELEO VYENYE THAMANI YA MILIONI 59.4 KWA MAOFISA MAENDELEO CHALINZE

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, ambae pia ni Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amekabidhi pikipiki 14, vishkwambi 15, na spika 15, vyenye thamani ya sh. mil 59,400,000 kwa maofisa maendeleo ya kata wa Halmashauri ya Chalinze.  Ameeleza vifaa hivyo vitasaidia kuboresha ufanisi wa kazi na kuwafikia wananchi…

Read More

Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana Zanzibar alishukuru Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana Zanzibar, Shaib Ibrahim Mohamed amelishukuru Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani, Save the Childen na Tanzania Bora Initiative, kwa uwasilishaji wa mradi wa Vijana Plus ambao utawafikia makundi mbali mbali ya vijana wa Zanzibar . Akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo Ndugu…

Read More

Marekani, Ukraine kukutana tena wiki ijayo Saudi Arabia

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema mazungumzo kati ya Marekani na Ukraine yatafanyika Saudi Arabia wiki ijayo, akieleza matumaini kwamba utakuwa mkutano wenye maana. Kwa mujibu wa BBC, kiongozi huyo wa Ukraine, ambaye atakuwa katika ufalme huo wa Ghuba, hatashiriki katika mazungumzo hayo, ambapo mazungumzo hayo ya Saudi Arabia yatakutanisha timu maalumu kutoka Marekani na…

Read More

Mabondia Wanawake Wapewa Truck Suits na Meridianbet

IKIWA leo hii ni tarehe 6 mwezi Machi wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet katika kuendeleza usawa na kukuza michezo ya wanawake, Meridianbet imetoa msaada wake kwa wanawake mabondia kwa kugawa mavazi maalum ya truck suits. Mavazi haya yataenda kutumika kwa mabondia wanaojiandaa kushiriki michuano ya ngumi inayotarajiwa kufanyika huko Serbia tarehe 9 mwezi huu. Meridianbet…

Read More