Serikali yaanza kampeni elimu kujikinga na ugonjwa wa Mpox

Rukwa/Dar.  Katika kuhakikisha Jamii inakua salama dhidi ya magonjwa ya mlipuko, Wizara ya Afya imeanza kutoa elimu katika maeneo mbalimbali ya umma na vyombo vya habari kupitia waganga wakuu wa mikoa na wataalamu wa afya. Hatua hiyo imekuja zikiwa zimepita siku 14 tangu Serikali ilipotangaza kuwa watu wawili wana maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa…

Read More

Kocha JKT Tanzania awaondolea mzigo Bocco, Songo

KOCHA wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema anatengeneza timu ambayo haitakuwa mzigo kwa baadhi ya wachezaji, badala yake anahitaji kila anayekuwa uwanjani ajue yupo kwa ajili ya kupambania pointi tatu. Alisema anatambua washambuliaji kama John Bocco mwenye mabao mawili na Edward Songo aliyefunga matatu hiyo ni kazi yao, lakini hataki kuwapa presha kutimiza majukumu yao…

Read More

Othman asisitiza amani, utulivu kwenye uchaguzi

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman amewaomba Wazanzibari kuomba dua kwa ajili ya amani na utulivu wakati nchi inajiandaa kwa uchaguzi mkuu ujao. Othman ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo, ametoa wito huo leo Jumatatu Machi 24, 2025  alipohitimisha ziara yake ya mikoa mitano ya Unguja…

Read More

Ndoa za rangi tofauti na changamoto ya ubaguzi

Wengi tumezoea kuwaona wanaume wa Kizungu wakiwafungulia milango wake zao wanapopanda au kushuka kwenye magari hata kuingia majumbani. Wengi hutafsiri kitendo hiki kama mapenzi ya Kizungu au mapenzi stahiki japo inaweza kuwa zaidi ya haya. Na wanaofanya hivyo si wote. Wapo Wazungu wenye tabia na matendo kama Waafrika ambao huwa hawawafungulii milango wake zao. Hata…

Read More

‘Haki za watoto wenye uhitaji zitambuliwe’

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema inaendelea kufanya kazi na wadau kuhakikisha haki za watoto wenye uhitaji maalumu zinatambuliwa na kuzingatiwa katika sera na mipango ya maendeleo. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar, Anna Athanas Paul ametoa kauli hiyo jana Jumapili Machi 23, 2025 wakati wa akizungumza katika…

Read More

50 BORA KUZINDULIWA SIKU YA EID PILI

DENIS MLOWE, IRINGA Baada ya kuhairishwa uzinduzi wa mashindano ya Kombe la Vunja bei Machi 19 sasa rasmi ku,zinduliwa Eid Pili (April 2) katika kiwanja cha Kalenga kilichoko wilaya ya Iringa vijijini mkoani hapa huku uzinduzi huo ukisindikizwa wasanii maarufu kutoka jijini Dar es Salaam. Akitoa taarifa ya uzinduzi huo msemaji wa kampuni ya Vunja…

Read More

Crunch ya Fedha inaweka miaka ya maendeleo katika hatari katika kupigana na kifua kikuu – maswala ya ulimwengu

Mtihani wa dawa ya kifua kikuu ya Mycobacterium. Mikopo: CDC na Ed Holt (Bratislava) Jumatatu, Machi 24, 2025 Huduma ya waandishi wa habari BRATISLAVA, Mar 24 (IPS) – Serikali na wafadhili lazima zihakikishe ufadhili unasimamiwa kupigana na kifua kikuu (TB), mashirika yanayofanya kazi kumaliza ugonjwa yamesema, wakati wanapoonya kurudishwa hivi karibuni kwa Amerika juu ya…

Read More

NBC Kutumia Mchezo wa Gofu Kuchochea Ushirikiano wa Kibiashara.

Mashindano ya Gofu ya ‘NBC Waitara Trophy 2025’ yamehitimishwa kwa mafanikio makubwa huku mdhamini mkuu wa mashindano hayo, benki ya NBC ikisisitiza dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na wadau wa mchezo huo ili kuchochea ushirikiano wa kibiashara miongoni mwa wadau, kukuza na kuendeleza vipaji na kutangaza utalii. Mashindano hayo yaliyofanyika kwa siku moja yakilenga kumuenzi…

Read More