MC KIANDA ATAMANI TUZO YA MC WA TAIFA

Na Oscar Assenga, TANGA. MSHEHERESHAJI aliyeibuka kinara katika Tuzo za MC Bora wa Mkoa wa Tanga 2025 Giliad Kianda “MC Kianda” amesema kwa sasa malengo yake anayatazama kuwania tuzo bora za Taifa kutokana na umahiri wake na ubunifu katika utekelezaji wa kazi zake. Kianda aliyasema hayo mara baada ya kumalizika kwa mashindano ya Tuzo la…

Read More

Sh5.5 bilioni kuyaongezea ujuzi makundi ya vijana sekta hizi

Unguja. Vijana 711,880 kutoka makundi tofauti wanatarajiwa kuongezewa ujuzi kulingana na fani zao nchini kupitia mradi wa vijana Plus. Mradi huo unaoanza mwaka huu hadi 2026, utawapa fursa vijana katika sekta tofauti wakiwemo wajasiriamali, wasanii na waandishi wa habari ili kuwaongezea ujuzi katika maeneo wanayofanyia kazi kwa kipindi cha miaka mitatu utagharimu Euro 2.2 milioni…

Read More

Chama cha kutetea walimu wajipanga kumwona Rais Samia

Mbeya. Chama cha Kutetea Haki na Masilahi ya Walimu Tanzania (Chakamwata) kinatarajia kumuona Rais Samia Suluhu Hassan kujadili masuala mbalimbali kuhusiana na haki na masilahi ya walimu nchini. Katibu Mkuu wa chama hicho, Meshack Kapange amesema hayo leo Alhamisi Machi 6, 2025 wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ujio mpya huku akisisitiza  wataanza na…

Read More

Mwinyi: Wanawake wanaonyesha ufanisi wakipewa majukumu, tutaendelea kuwapa nafasi

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuwapa nafasi wanawake katika ngazi mbalimbali ili kufikia malengo ya usawa wa kijinsia, huku akiwataka kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Dk Mwinyi amesema hayo leo Machi 6, 2025 katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani…

Read More

The Citizen Rising Woman; Fursa ya wanawake kiuchumi

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la tano la The Citizen Rising Woman linalotarajiwa kufanyika leo Ijumaa, Machi 7, 2025 katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam. Kuwapo kwa Naibu Waziri Mkuu ni ishara ya kusisitiza dhamira ya Serikali ya kukuza usawa…

Read More