Loyce afichua siri sanaa ya kucheza na nyoka

Mwanza. Katika safari ya maisha, kila mtu hukutana na changamoto zinazohitaji ujasiri wa hali ya juu kuzimudu. Kwa wengi, kushika nyoka si jambo la kawaida, lakini kwa baadhi ni sehemu ya kazi na maisha yao ya kila siku. “Mara ya kwanza niliposhika nyoka, kwa kweli nilikuwa naogopa sana,” anasema Loyce Ngoleigembe, akieleza jinsi alivyojifunza kukabiliana…

Read More

TUTAENDELEA KUTENGENEZA SERA RAFIKI KUVUTIA UWEKEZAJI SEKTA YA MAFUTA NA GESI ASILIA-KAMISHNA SHIRIMA

  Kamishna wa Petroli, Goodluck Shirima amesema kuwa, Tanzania  imejipanga vyema  kutengeneza sera rafiki zitakazozidi kuvutia uwekezaji kwenye sekta ya Mafuta na Gesi Asilia ambazo zitawezesha pia kupata mitaji ya kuendesha Sekta kwa ufanisi. Kamishna Shirima amesema hayo  leo jijini Dar es Salaam wakati wa  Kongamano na Maonesho ya Petroli ya Jumuiya ya Afrika Mashariki…

Read More

Hekima na malengo ya Saumu ya Ramadhan

Neno “Saumu” kwa muktadha wa lugha ya Kiarabu lina maana nyingi, zikiwemo: kujizuia na jambo fulani au kujiepusha na kitu. Allah amesema kuhusu Mariam: “Hakika mimi nimeweka nadhiri kwa Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema ya kufunga, kwa hivyo leo sitasema na mtu yeyote.” (19: 26) Katika aya hii, neno “Saumu” limetumika kwa maana ya kilugha…

Read More

DC TEMEKE AWATAKA WAENDESHA BODABODA KUFUATA SHERIA, AZINDUA PIKIPIKI ZA DAIMA NA EVERLAST

WATUMIAJI wa pikipiki hususani bodaboda wametakiwa kufuata sheria za barabarani na kuzingatia matumizi sahihi ya pikipiki kama wanavyoshauri wataalamu ili zidumu kwa muda mrefu. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Albert Chalamila, aliyewakilishwa na Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda, wakati akizindua pikipiki za kampuni ya Alternative Solution…

Read More

Makosa haya kwenye mazoezi kifo kwako

Uzoefu unaonyesha watu wengi hawana utaratibu wa kufanya mazoezi au kuushughulisha mwili kwa kazi maalumu. Na wanaofanya hivyo pengine ni pale wanapotaka kupunguza uzito au baada ya kushauriwa na wataalamu wa afya. Hii ni tofauti na maelekezo ya  Shirika la Afya Duniani (WHO) linalopendekeza  kwa mfano watu wazima kufanya mazoezi ya wastani wa dakika 150…

Read More

Mambo yapo huku Ligi Kuu Bara

SAFU za ulinzi kwa timu zote sita zinazotarajia kuchuana leo zina vibarua kupunguza makosa kutokana na timu hizo kuchuana kwa safu mbovu kutokana na kuruhusu nyavu zao kutikiswa mara nyingi. Lakini pia washambuliaji wa timu hizo pia watakuwa na kazi ya kufanya kuvuka kuta hizo kutokana na wao pia kutokuwa na ubora wa kufumania nyavu…

Read More

Yajue mambo yanayoharibu afya ya masikio yako

Machi 3 ya kila mwaka ni siku ya kimataifa ya usikivu duniani. Kauli mbiu ya mwaka huu inasema: “Badilisha mawazo: jiwezeshe kufanya huduma ya masikio na kusikia kuwa kweli kwa wote.” Kwa kuhimiza watu kutambua umuhimu wa afya ya masikio na kusikia, kampeni hii inalenga kuwatia moyo kubadili tabia na mienendo hatarishi ili kulinda usikivu…

Read More

KenGold yajishtukia, yaipiga mkwara Azam

SARE tatu mfululizo ilizopata KenGold katika mechi za Ligi Kuu Bara, zimemshtua kocha wa timu hiyo, Omar Kapilima na kusema ameshakaa na wachezaji na kuwaambia kwa hali yoyote ni lazima wapate ushindi mbele ya Azam FC ili kurejesha morali ya kuondoka eneo la mkiani mwa msimamo. KenGold imebakiza mechi saba za kuamua hatma ya kubaki…

Read More