AKILI ZA KIJIWENI: Samatta anachanga karata vyema

KAPTENI Mbwana Samatta alitupa unyonge sana mwanzoni mwa msimu huu kutokana na kutopata nafasi ya kutosha ya kucheza katika kikosi cha PAOK ya Ugiriki akionekana kutokuwa chaguo la benchi lao la ufundi. Tuliumia sana hapa kijiweni kwa sababu kuna mambo mengi ambayo tulianza kuyawaza vichwani mwetu kutokana na hilo lililokuwa linatokea kwa ‘El Capitano’ wetu…

Read More

Ongezeko la bodaboda na uhusiano wake kiuchumi

Bila shaka utakubali kuwa bodaboda imetoa ajira kwa watu wengi husuan vijana na kutokana na changamoto ya ukosefu wa ajira, hivi sasa kuna utani mpya mtandao ambao unawahimiza wanafunzi kujifunza udereva wa bodaboda wanapoelekea kumaliza masomo yao. Bodaboda zinaongezeka na madereva wanaongezeka, takwimu za Benki kuu ya Tanzania (BoT) zinaonyesha kuwa kwa mwaka 2024 pekee…

Read More

Watumiaji wa sponji za kuoshea vyombo kaeni chonjo

Dar es Salaam. Matokeo ya utafiti uliofanywa na wataalamu wa microbiolojia duniani, umebaini sponji za kuoshea vyombo vya chakula, zinabeba bakteria wanaoweza kusababisha madhara. Utafiti huo uliofanywa na wataalamu kwa nyakati tofauti na kuchapishwa na BBC, umebaini sponji zina mazingira mazuri kwa bakteria kustawi, ikiwa ni pamoja na kuzaliana ingawa kwa mtu mwenye afya njema,…

Read More

POLISI MOROGORO WAMKAMATA DEREVA TEKSI KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA MWANAMKE MWAKA 2016

Na FARIDA MANGUBE MOROGORO Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Omari Selemani Mwanamtwa, dereva teksi, kwa tuhuma za kumuua mwanamke aliyefahamika kwa jina la Ulumbi Stephano, mkazi wa Kihonda,  tukio lililotokea mwaka 2016. Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama, amesema mtuhumiwa…

Read More

Baraza la Wafanyakazi Bodi ya Mfuko wa Barabara lapitisha bajeti ya mwaka 2025/26

Na BALTAZAR MASHAKA,MOROGORO  WAJUMBE wa Baraza la Wafanyakazi wa Bodi ya Mfuko wa Barabara (RBF) wamekutana mkoani Morogoro,kujadili na kupitisha bajeti ya bodi ya mfuko huo kwa mwaka wa fedha 2025/26. Mwenyekiti wa Baraza hilo na Mtendaji Mkuu wa RBF,Mhandisi Rashid Kalimbaga,akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo,amesema kuwa bajeti hiyo imezingatia majukumu makubwa ya…

Read More