Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Februari 6, 2025 ALIKUWA Mwalimu na Mke wa Rais, lakini safari yake haikukamilika kwa kuwa mke wa Rais. Leo ni Mbunge
Month: March 2025

KAPTENI Mbwana Samatta alitupa unyonge sana mwanzoni mwa msimu huu kutokana na kutopata nafasi ya kutosha ya kucheza katika kikosi cha PAOK ya Ugiriki akionekana

Washington. Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza kile alichokiita onyo la mwisho kwa wapiganaji wa kundi la Hamas akiwataka kuwaachia mateka wote walioko eneo la

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekuatana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa

Bila shaka utakubali kuwa bodaboda imetoa ajira kwa watu wengi husuan vijana na kutokana na changamoto ya ukosefu wa ajira, hivi sasa kuna utani mpya

Waandamanaji wanataka kupiga marufuku silaha za nyuklia. Mikopo: ICAN/Tim Wright na Thalif Deen (Umoja wa Mataifa) Alhamisi, Machi 06, 2025 Huduma ya waandishi wa habari

Dar es Salaam. Matokeo ya utafiti uliofanywa na wataalamu wa microbiolojia duniani, umebaini sponji za kuoshea vyombo vya chakula, zinabeba bakteria wanaoweza kusababisha madhara. Utafiti

Na FARIDA MANGUBE MOROGORO Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Omari Selemani Mwanamtwa, dereva teksi, kwa tuhuma za

Mbeya. Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watuhumiwa Geofrey Braiton (29) na Michael Ruben (30) wakazi wa jijini humo kwa tuhuma za kupatikana na noti

Na BALTAZAR MASHAKA,MOROGORO WAJUMBE wa Baraza la Wafanyakazi wa Bodi ya Mfuko wa Barabara (RBF) wamekutana mkoani Morogoro,kujadili na kupitisha bajeti ya bodi ya mfuko