TUME KUANDIKISHA WAPIGA KURA WAPYA ZAIDI YA LAKI SITA DAR
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akizungumza leo Machi 05,2025 wakati akifungua mkutano wa Tume na Wadau wa uchaguzi mkoa wa Dar es Salaam kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Mhe. Jaji wa Rufani…