Zanzibar kuwakutanisha wataalamu wa AI Afrika

Unguja. Kwa mara ya kwanza, Zanzibar inatarajia kuwakutanisha wataalamu wa teknolojia na akili mnemba (AI) 1,500 kutoka nchi mbalimbali za Afrika kubadilishana uwezo na kuongeza ujuzi katika kukuza biashara. Katika mkutano huo wa Tech and AI Internationa Expo 2025, utawaleta pamoja viongozi wa tasnia, wawekezaji, watunga sera na washiriki wa teknolojia kuchunguza maendeleo ya hivi…

Read More

WANAWAKE TCAA WAWASHIKA MKONO WATOTO WENYE SARATANI MUHIMBILI

 Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake, wanawake kutoka Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imejitolea kugharamia matibabu ya kiasi cha TZS milioni mbili na nusu kwa watoto wanaougua saratani katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) pamoja na msaada wa mahitaji mbalimbali yenye thamani ya TZS 710,000 ikilenga kuboresha huduma za matibabu kwa…

Read More

Waziri aingia mtaani kusaka wakwepa kodi

Unguja. Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) wameanza operesheni mtaani ili kuwabaini na kuchukua hatua dhidi ya wafanyabiashara wanaokwepa kodi. Mbali na sheria kuwataka wafanyabiashara kutoa risiti za kielektroniki na kubandika bei halisi za bidhaa husika, pia wamebainika kuwapo wafanyabiashara ambao hawabandiki bei hizo, ikitajwa…

Read More

DOWEICARE YACHANGIA UJENZI WA DARAJA LULANZI

Na Khadija Kalili, Michuzi TV KIWANDA Cha Doweicare kilichopo eneo la Lulanzi Picha yandege Wilayani Kibaha wametoa mchango wa fedha ikiwa katika kuchangia ujenzi wa kalavati. Mkurugenzi wa Kiwanda hicho Bob Chaing amesema kuwa wamekabidhi kiasi cha Sh.500,000 kwa Uongozi wa Serikali ya Mtaa ya Lulanzi huku akisisitiza na kusema kuwa wamekuwa wakishiriki kwenye shughuli…

Read More

Mkakati wa CCM kutetea dola

Dar es Salaam. Ikiwa miezi saba imebakia kuingia kwenye uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Chama cha Mapinduzi (CCM), kimehamasisha wanachama wake wa mkoani hapa kujitokeza kwa wingi kuboresha taarifa zao kwenye daftari la kudumu la mpigakura ili kitetee nafasi ya kushika dola. Kimesema nguvu walizoanza tangu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika mwaka 2024…

Read More

ETDCO YAWEKA KAMBI EAPCE’ 25 KUTAFUTA FURSA.

  Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imeshiriki Kongamano la 11 la Nishati ya Petroleum (EAPCE’ 25) kwa ajili ya kutoa elimu pamoja kutafuta fursa za ujenzi wa miundombinu ya umeme kwa wadau walioshiriki kutoka Nchi za Afrika Mashariki. Kongamano hilo limefunguliwa na Makamu wa Rais wa…

Read More