Unguja. Kwa mara ya kwanza, Zanzibar inatarajia kuwakutanisha wataalamu wa teknolojia na akili mnemba (AI) 1,500 kutoka nchi mbalimbali za Afrika kubadilishana uwezo na kuongeza
Month: March 2025

Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake, wanawake kutoka Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imejitolea kugharamia matibabu ya kiasi cha TZS milioni

Unguja. Siku chache baada ya kuzinduliwa stendi kuu ya kisasa Kijangwani na kulazimisha daladala kupitia kwenye kituo hicho, wananchi na abiria wamelalamikia mzunguko mkubwa unajitokeza

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Gesi Asilia wa Taasisi ya Teknolojia

Unguja. Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) wameanza operesheni mtaani ili kuwabaini na kuchukua hatua

Na Khadija Kalili, Michuzi TV KIWANDA Cha Doweicare kilichopo eneo la Lulanzi Picha yandege Wilayani Kibaha wametoa mchango wa fedha ikiwa katika kuchangia ujenzi wa

Dar es Salaam. Ikiwa miezi saba imebakia kuingia kwenye uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Chama cha Mapinduzi (CCM), kimehamasisha wanachama wake wa mkoani hapa kujitokeza

Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imeshiriki Kongamano la 11 la Nishati ya Petroleum (EAPCE’ 25)

Maandamano makubwa yanaendelea nchini Ugiriki huku serikali ikikabiliwa na shinikizo la kura ya kutokuwa na imani kufuatia ajali mbaya ya treni ya

Mwanza. Mtandao wa Polisi Wanawake Tanzania (TPF Net) mkoa wa Mwanza umeadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani (IWD) kwa kuwatembelea na kutoa msaada wa