Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Imeelezwa kwamba wananchi wengi wanaoenda kupata Matibabu ya Afya katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Ubongo na Mishipa ya fahamu
Month: March 2025

Morogoro. Tatizo la uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji linaloendelea nchini, limeifanya Serikali kutoa maagizo saba kwa mamlaka za wilaya, mikoa na za maji

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA),imezifutia usajili Kampuni 11 ambazo zimekiuka masharti ya Kifungu cha 400A (1) (e)

Dar es Salaam. Mkataba wa ujenzi wa miundombinu ya mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam awamu ya nne BRT-LOT 4(1)(2) kuanzia Posta-Daraja la Kijazi hadi

Na Mwandishi Wetu Tume ya Utumishi wa Umma imetoa rai kwa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuwekeza zaidi katika kutoa elimu

Washington. Rais wa Marekani, Donald Trump amefichua kuwa ofisi yake imepokea barua kutoka kwa Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ikisema yuko tayari kwa mazungumzo na

Katika kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, leo tarehe 4 Machi 2025 ameweka jiwe

Kwenye sekta ya fedha, kuna mifumo michache ambayo huleta hofu kwa wawekezaji na watu wa kawaida. Miongoni mwa mifumo hiyo ni “mfumo wa Ponzi.” Mfumo
Rais Samia afuturisha Viongozi wa Dini na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam, Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye Iftar aliyowaandalia viongozi wa dini na wazee wa Mkoa wa

WAHENGA walisema ‘chanda chema huvikwa pete’, msemo ambao umejidhihirisha kufuatia uteuzi wa refa Ahmed Arajiga kutoka Manyara kuchezesha mechi ya Yanga na Simba, Jumamosi hii