Kiama kwa waharibifu wa mazingira, vyanzo vya maji

Morogoro. Tatizo la uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji linaloendelea nchini, limeifanya Serikali kutoa maagizo saba kwa mamlaka za wilaya, mikoa na za maji ikiwamo kutungwa sheria ndogo za kusimamia vyanzo vyote vya maji na kuwachukulia hatua kali watakaokaidi. Maelekezo mengine ni kila Mtanzania popote alipo kutambua ajenda kubwa na muhimu kwa sasa ni…

Read More

Zelensky amwandikia barua Trump, akubali kukutana na Putin

Washington. Rais wa Marekani, Donald Trump amefichua kuwa ofisi yake imepokea barua kutoka kwa Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ikisema yuko tayari kwa mazungumzo na Russia na kusaini makubaliano ya madini adimu. “Ukraine iko tayari kukaa kwenye meza ya mazungumzo haraka iwezekanavyo ili kuleta amani ya kudumu. Hakuna anayetaka amani zaidi ya Waukraine,” Trump amesema…

Read More

Ujue udanganyifu wa ‘Ponzi’ na chimbuko lake-1

Kwenye sekta ya fedha, kuna mifumo michache ambayo huleta hofu kwa wawekezaji na watu wa kawaida. Miongoni mwa mifumo hiyo ni “mfumo wa Ponzi.” Mfumo huo ulianza kujulikana karne ya 20 na uliitwa Ponzi kutokana na jina la Mwanzilishi ambaye aliitwa Charles Ponzi. Ponzi alizaliwa Lugo, Italia na akajulikana mwanzoni mwa miaka ya 1920. Aliwaahidi…

Read More

Arajiga kiboko ya Dabi, wasifu umenyooka

WAHENGA walisema ‘chanda chema huvikwa pete’, msemo ambao umejidhihirisha kufuatia uteuzi wa refa Ahmed Arajiga kutoka Manyara kuchezesha mechi ya Yanga na Simba, Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa uliofanywa na Kamati ya Marefa ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi (TPLB) jana imeeleza kuwa Arajiga ndiye atakuwa refa…

Read More