Bomoa bomoa nyingine yaja, maeneo 111 kupangwa upya

Dodoma. Maeneo 111 katika mikoa 24 yenye makazi duni na yanayoendelezwa kiholela nchini, yanaanza kufanyiwa maboresho kupitia upangaji upya wa miji, huku Serikali ikiahidi kushirikisha wananchi kwa karibu katika mchakato huo. Hatua hiyo inatekelezwa chini ya Programu ya Uendelezaji wa Miji, inayoendeshwa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Marekebisho hayo yanachochewa na…

Read More

2000 kushiriki Lake Zone International Marathon 2025 Mwanza

NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA Zaidi ya washiriki 2000 wanatarajiwa kuchukua sehemu katika mbio za Kimataifa za Utalii Kanda ya Ziwa (Lake Zone International Marathon 2025) zitakazofanyika mkoani Mwanza.,kuhamasisha utalii na kuonesha fursa za uwekezaji zilizopo mkoani humu. Akizungumza na waandishi wa habari, jijini Mwanza, leo Mkurugenzi wa Kilimanjaro One Sports Promotion Ltd, Mohamed Hatibu, amesema…

Read More

COSTECH YASAINI MKATABA WA UJENZI WA JENGO LAKE DODOMA.

TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imesaini mkataba na Kampuni ya TIL Construction Limited kwa ajili ya kuanza kwa ujenzi wa Jengo la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (STI Complex) jijini Dodoma hivi karibuni. Akizungumza baada ya kusainiwa kwa mkataba huo, Mkurugenzi Mkuu wa COSTECH, Dkt. Amos Nungu, amesema ujenzi huo ni sehemu ya…

Read More

Moto wa nyika waua wanne Korea Kusini, chanzo chatajwa

Seoul. Korea Kusini imekumbwa na janga la moto wa nyika unaoteketeza maeneo ya misitu na makazi kusini mashariki mwa nchi hiyo. Moto huo umeenea maeneo 24 tofauti, huku maelfu ya watu wakihamishwa ili kuepuka madhara ya kiafya. Shirika la Habari la Yonhap, limeripoti leo Jumatatu Machi 24,2025, kuwa moto huo umeibuka maeneo 24 tofauti nchini…

Read More

Sampuli zaidi ya 600 za mboga kufanyiwa utafiti Tanzania

Arusha. Zaidi ya sampuli 600 za mbogamboga hapa nchini zimeanza kufanyiwa utafiti wa awali wa utambuzi kujua uwezo, sifa na tabia zake ili kuzikusanya na kuhifadhiwa katika benki ya mbegu. Sampuli hizo ni kati ya  1,700 zilizokusanywa kwa ajili ya utunzaji rasilimali mimea za mbogamboga za asili ili zitumike katika uboreshaji wa lishe ya watoto…

Read More