Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: March 2025

  • Home
  • 2025
  • March
  • Page 16
Habari

Bomoa bomoa nyingine yaja, maeneo 111 kupangwa upya

March 24, 2025 Admin

Dodoma. Maeneo 111 katika mikoa 24 yenye makazi duni na yanayoendelezwa kiholela nchini, yanaanza kufanyiwa maboresho kupitia upangaji upya wa miji, huku Serikali ikiahidi kushirikisha

Read More
Habari

MABILIONI YA SERIKALI YABORESHA MIUNDOMBINU YA ELIMU MBULU MJI.

March 24, 2025 Admin

Na John Walter -Mbulu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu, Bi. Rehema Said Bwasi, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia

Read More
Habari

2000 kushiriki Lake Zone International Marathon 2025 Mwanza

March 24, 2025 Admin

NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA Zaidi ya washiriki 2000 wanatarajiwa kuchukua sehemu katika mbio za Kimataifa za Utalii Kanda ya Ziwa (Lake Zone International Marathon 2025)

Read More
Habari

COSTECH YASAINI MKATABA WA UJENZI WA JENGO LAKE DODOMA.

March 24, 2025 Admin

TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imesaini mkataba na Kampuni ya TIL Construction Limited kwa ajili ya kuanza kwa ujenzi wa Jengo la

Read More
Habari

Nafasi ya Kushinda Ipo Meridianbet – Global Publishers

March 24, 2025 Admin

Mechi za kufuzu kombe la Dunia zipo leo na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS

Read More
Habari

Mtoto wa Museven adai wanajeshi wa Uganda wataingia DRC wakati wowote

March 24, 2025 Admin

Kampala. Mkuu wa Majeshi nchini Uganda, Muhoozi Kainerugaba, amesema askari wa Jeshi la Uganda (UPDF) ama wapiganaji wa Kundi la M23 watawasili katika mji wa

Read More
Habari

Moto wa nyika waua wanne Korea Kusini, chanzo chatajwa

March 24, 2025 Admin

Seoul. Korea Kusini imekumbwa na janga la moto wa nyika unaoteketeza maeneo ya misitu na makazi kusini mashariki mwa nchi hiyo. Moto huo umeenea maeneo

Read More
Habari

Msongamano ‘baibai’ daraja la Kintinku, madereva waonywa

March 24, 2025 Admin

Singida. Changamoto ya uharibifu na msongamano wa magari katika daraja la juu ya Reli ya Kisasa (SGR) katika eneo la Kintiku wilaya ya Manyoni mkoani

Read More
Habari

Balozi aliyefukuzwa Marekani arejea Afrika Kusini, apokewa kishujaa

March 24, 2025 Admin

Cape Town. Ebrahim Rasool ambaye ni Balozi wa Afrika Kusini aliyefukuzwa nchini Marekani kutokana na mvutano na utawala wa Rais Donald Trump na utawala wa

Read More
Habari

Sampuli zaidi ya 600 za mboga kufanyiwa utafiti Tanzania

March 24, 2025 Admin

Arusha. Zaidi ya sampuli 600 za mbogamboga hapa nchini zimeanza kufanyiwa utafiti wa awali wa utambuzi kujua uwezo, sifa na tabia zake ili kuzikusanya na

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 15 16 17 … 170 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.