Dar es Salaam. Wadau wa masuala ya siasa nchini wamependekeza uwepo ukomo wa ubunge na udiwani wa viti maalumu, wakieleza baadhi yao wamehodhi nafasi hizo
Month: March 2025

Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake, hakuna mfano bora wa mwanamke shupavu, mwenye maono na anayevunja vikwazo kuliko Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

LIGI Kuu Bara imeanza kuchangamka kwani ngwe ya lala salama imezifanya kila timu iingie uwanjani ikiwa na mkakati mkali sana kulinganisha na ilivyokuwa awali. Duru

RAFIKI yangu, unahitaji kuwafanya wateja wako wawe na furaha. Unahitaji kuwafanya wawe wateja wanaokuja kwako kila mara na waweze kuleta marafiki zao. Kama utakuwa na

Makamu mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Zanzibar Hamad Mkadam amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, wakati akipatiwa matibabu ya afya kwenye moja

Na Mwandishi wetu, Arusha. MATAIFA ya Tanzania na Kenya yanatarajiwa kunuifaka na programu ya pamoja ya utafiti wa maji ya chini ya ardhi ya Mlima

Picha ya Abdullah Öcalan, kiongozi aliyefungwa wa PKK, anapatikana juu ya Milima ya Qandil, ngome ya kikundi hicho huko Iraqi Kurdistan. Mnamo 1998, mwaka mmoja

Ken Gold imeshindwa kujinasua mkiani baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Mashujaa, huku mashabiki wa timu hiyo wakionekana kuvurugwa na matokeo hayo.

Dar es Salaam. Kwa wenye haraka wanaolazimisha kutumia barabara za Mabasi yaendayo Haraka (BRT) za mradi wa awamu ya kwanza wakikamatwa na polisi watarajie kutozwa

Na Mwandishi Wetu. Mwenyekiti wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari ( Journalists Accreditation Board- JAB) Bw. Tido Mhando, akiongoza kikao cha kwanza cha