Ligi Kuu Bara leo ni mechi za kimkakati

LIGI Kuu Bara imeanza kuchangamka kwani ngwe ya lala salama imezifanya kila timu iingie uwanjani ikiwa na mkakati mkali sana kulinganisha na ilivyokuwa awali. Duru la kwanza tumeshuhudia timu zikiwa na hesabu tofauti, nyingi zikionekana kutofanya vizuri ikiwemo KenGold na Pamba Jiji zilizopanda daraja, lakini duru la pili hakuna aliyekuja kinyonge, hata hao wageni wa…

Read More

Makamu mwenyekiti wa TLP Zanzibar afariki Dunia

Makamu mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party  (TLP), Zanzibar Hamad Mkadam amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, wakati akipatiwa matibabu ya afya kwenye moja ya hospitali kisiwani Pemba. Mkadam amefariki ikiwa ni mwezi mmoja na siku nne umepita tangu achaguliwa kuendelea kuhudumu kwenye nafasi hiyo katika uchaguzi uliofanyika Februari 2,2025 jijini Dar es Salaam….

Read More

Ken Gold yabanwa Sokoine, mashabiki watawanywa na polisi

 Ken Gold imeshindwa kujinasua mkiani baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Mashujaa, huku mashabiki wa timu hiyo wakionekana kuvurugwa na matokeo hayo. Baada ya mchezo kumalizika, mashabiki walijikusanya katika geti kubwa wakionyesha  kutofurahishwa na matokeo hayo hadi Polisi walipowatawanya. Katika mchezo huo ambao umepigwa Uwanja wa Sokoine, Ken Gold ilionekana kuwa na…

Read More

Kulala mahabusu adhabu wanaopita barabara za mwendokasi

Dar es Salaam. Kwa wenye haraka wanaolazimisha kutumia barabara za Mabasi yaendayo Haraka (BRT) za mradi wa awamu ya kwanza wakikamatwa na polisi watarajie kutozwa faini, kulala mahabusu, kisha kufikishwa mahakamani. Baadhi ya madereva wa magari ya Serikali na binafsi tayari wameshaadhibiwa kwa nyakati tofauti walipopita katika barabara za BRT Morogoro, Kawawa hadi Morocco. Adhabu…

Read More