Ligi ya kikapu Dar es Salaam mambo ni moto

WAKATI timu zikisubiri kutangaziwa tarehe ya kuanza mashindano ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), klabu 11 kati ya timu 16 zinazoshiriki ndizo zilizoanza mazoezi kujiandaa na kipute hicho kinachotarajiwa kuwa na mvuto wa aina yake. Mwanaspoti limetembelea katika viwanja vya timu hizo na kuzishuhudia 11 zikiwa na vikosi vyenye nyota kadhaa…

Read More

Ni hatma ya Marekani kuitawala Dunia?

Dar es Salaam. Ingawa uamuzi wa Marekani kusitisha misaada ya nje ni maumivu kwa mataifa mbalimbali, hatua hiyo pia inatazamwa kama hatma ya nafasi ya taifa hilo la Magharibi katika kuitawala dunia. Tangu aapishwe kuwa Rais wa Marekani Januari mwaka huu, Donald Trump ameshasaini nyaraka takribani 79 zikiwamo za kusitisha misaada katika mataifa mbalimbali duniani,…

Read More

Mkutano wa COP 16 ulifanya hatua muhimu kuelekea mpito zaidi kwa watu asilia na jamii za vijana – maswala ya ulimwengu

COP16 huko Roma, Februari 2025. Mikopo: Habari za Vatican Maoni na Caroline Delgado (Stockholm, Uswidi) Jumatatu, Machi 03, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Stockholm, Uswidi, Mar 03 (IPS) – Pamoja na hali ya joto ulimwenguni ikiendelea kuvunja rekodi na kila kiashiria cha ulimwengu cha afya ya ulimwengu wa asili kuonyesha kupunguahitaji la kuhama haraka…

Read More

GCLA YASISITIZWA KUTOA ELIMU KWA WAJASIRIAMALI

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mh. Exaud Kigahe (kushoto), akisikiliza maelezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Uchunguzi wa Bidhaa na Mazingira Dkt. Shimo Peter (kulia) akieleza kuhusu majukumu ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali katika Maonesho ya Viwanda na Biashara za Wanawake na Vijana Wajasiriamali Tanzania yanayofanyika katika viwanja vya Mlimani…

Read More

Maswali tata ‘No Reforms, No Election’ ya Chadema

Dar es Salaam. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikiweka msimamo wa kuzuia uchaguzi mkuu ujao endapo mabadiliko wanayoyataka hayatafanyika, mchambuzi wa siasa na mwanaharakati wa maendeleo, Ansbert Ngurumo amehoji maswali manne kwa Chadema na wafuasi wao. Ngurumo ambaye pia ni mwanahabari mkongwe, anahoji hatma ya chama hicho kikuu cha upinzani nchini endapo kaulimbiu…

Read More

Tasso: Nitaingiza timu mbili Zanzibar

KOCHA mkongwe wa kikapu, Suleiman Tasso amesema anatarajia kuingiza timu mbili katika mashindano ya Ligi ya Kikapu  Zanzibar, mwaka huu. Akizungumza na Mwanaspoti, Tasso alizitaja timu hizo kuwa ni Zenji Bulls na Carvarious, ambapo Zenji Bulls haijacheza mashindano yoyote kwa kipindi kirefu. Nilivyoiona timu hii kwa sasa imebadilika na wachezaji wamebadilika kutokana na viwango kupanda,”…

Read More