Dar es Salaam. Mohammed Iqbal Dar mbunifu wa jina la Tanzania, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 80 jijini Birmingham, Uingereza, ambako aliishi tangu
Month: March 2025

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesitisha misaada yote ya kijeshi kwa Ukraine kufuatia kuvunjika kwa mkutano kati yake na Rais Volodymyr Zelensky

VIJANA 45 wanaocheza kikapu wenye umri wa miaka 16-18 wameshiriki katika kliniki ya mchujo wa kutafuta timu ya taifa ya vijana kwenye Uwanja wa Donbosco,

Rome, Vatican. Hali ya kiafya ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki, Papa Francis, imeendelea kuwa ya wasiwasi baada ya kushindwa kupumua kutokana na makohozi kuziba njia

Dar es Salaam. Utafiti mpya uliotolewa na taasisi ya saratani ya Shirika la Afya Duniani (WHO) umeonyesha kuwapo kwa ongezeko la wagonjwa wa saratani ya

Ofisa Ardhi Halmashauri ya Chalinze mkoani Pwani, Baltazar Mitti, ameeleza kuwa kero nyingi za migogoro ya ardhi zinatokana na wananchi kutokuwa na uelewa wa kisheria,

Kiungo wa Yanga, Stephane Aziz Ki ametoa ahadi ya kumpa zawadi, Waziri wa Madini na Mjumbe wa Baraza la Wadhamini la Klabu hiyo, Anthony Mavunde

Washington. Rais wa Marekani, Donald Trump, ameagiza kusitishwa kwa msaada wote wa kijeshi kwa Ukraine siku chache baada ya mvutano mkali kati yake na Rais

Dar es Salaam. Kama wewe ni miongoni mwa watumiaji wa tiba asili, unapaswa kujua kwamba unaziweka hatarini figo zako. Hii ni kutokana na dawa nyingi

Rais Donald Trump anahutubia vikao vya Mkutano Mkuu wa 75 nyuma mnamo Septemba 2020. Mikopo: Picha ya UN/Rick Bajornas na Thalif Deen (Umoja wa Mataifa)