Serikali yapangua hoja za ACT-Wazalendo

Unguja. Siku chache baada ya ACT- Wazalendo kuitaka Serikali kuvunja mkataba wa uendeshaji wa Bandari ya Malindi kati ya Shirika la Bandari (ZPC) na Kampuni ya Africa Global Logistic (AGL) ya Ufaransa, Serikali imesema haina mpango kwa sababu kampuni hiyo imeonesha ufanisi mkubwa. Akizungumza leo Jumapili, Machi 2, 2025 na waandishi wa habari, Waziri wa…

Read More

‘Matumizi ya mifumo kuongeza usalama, uaminifu’

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema Zanzibar inaendelea kupiga hatua katika kuimarisha matumizi ya teknolojia ili kuongeza usalama na kukuza uchumi wa Taifa na jamii kwa jumla. Abdulla amesema hayo katika hafla ya uzinduzi wa huduma ya kulipia mafuta kwa njia ya simu kupitia huduma ya lipia kwa simu…

Read More

Wataalamu wabaini aina mpya ya gugumaji Ziwa Victoria

Mwanza. Gugumaji jipya jamii ya Salvania SPP limebainika katika Ziwa Victoria, ambalo lina uwezo wa kuzaliana zaidi ya mara mbili hadi tatu kila baada ya siku nane, hivyo kufanya ongezeko lake kuwa kubwa ndani ya kipindi kifupi. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo Jumapili, Machi 2, 2025, Meneja wa Baraza la Taifa la…

Read More

BENKI YA STANBIC YABORESHA HUDUMA ZAKE ZA PRIVATE BANKING KWA WATEJA WA MBEYA, YATOA SULUHISHO MAALUMU ZA KIFEDHA KWA WAMILIKI WA BIASHARA.

Benki ya Stanbic yafikisha huduma zake za Private Banking kwa wateja wa Mbeya, Yawafikia watu wenye ukwasi mkubwa na wamiliki wa biashara kwa ushauri wa kipekee wa usimamizi wa mali, uwekezaji, na suluhisho za kifedha zilizo lenga mahitaji yao. · Upanuzi wa kimkakati jijini Mbeya unalenga mazingira yake imara ya biashara, ukiwapa wajasiriamali, wawekezaji, na…

Read More

Akutwa amefariki ndani, mlango umefungwa kwa kufuli

Shinyanga. Wande Mbiti (38), mkazi wa Kitongoji cha Busalala, Kijiji cha Nhelegani, Kata ya Kizumbi, mkoani Shinyanga, mwenye ulemavu wa ngozi (albino), amekutwa amefariki dunia ndani ya nyumba aliyokuwa akiishi huku mlango wa nyumba hiyo ukiwa umefungwa kwa kufuli kwa nje. Tukio hilo limebainika jana, Jumapili, Machi 2, 2025, saa saba mchana baada ya wakazi…

Read More

Anza Wiki na Maokoto ya Maana Meridianbet

Je unajua Jumatatu ya leo unaweza kuondoka na mkwanja wa maana ndani ya wakali wa ubashiri Meridianbet?. Suka jamvi lako la ushindi na uondoke na kibunda cha mkwanja sasa. Kombe la FA kule Uingereza raundi ya 5 litaendelea kwa mchezo mkali leo hii kati ya Nottingham Forest vs Ipswich Town. Kwenye ligi vijana wa Nuno…

Read More