Watano wafariki ajali ya basi la AN Classic

Dodoma. Watu watano wamefariki dunia na wengine 49 kujeruhiwa baada ya basi la abiria linalofanya safari zake kati ya Dodoma na Kigoma la AN Classic kuligonga lori kwa nyuma na kuanguka katika eneo la Chigongwe jijini Dodoma. Akizungumza leo Machi 4,2025 Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Kamishina Msaidizi Mwandamizi,  Anania  Amo amesema kuwa …

Read More

WAKULIMA WANEEMEKEA NA ZAO LA KAHAWA,WASEMA MIKOPO YA PEMBEJEO IMEWASAIDIA KULIMA KWA TIJA

Na Mwandishi Wetu,Ruvuma WAKULIMA wa zao la kahawa wanaohudumiwa na Chama cha Msingi cha Ushirika KImuli Amcos kata ya Utiri Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma, wamefanikiwa kuzalisha tani 105,986.95 za kahawa zilizowaingizia zaidi ya Sh.bilioni 14,022,174,698.40 kuanzia Msimu wa kilimo 2021/2022 hadi 2024/2025.Katibu wa Chama hicho Aron Komba amesema,katika msimu 2021/2022 wakulima walizalisha tani 548,551…

Read More

Upepo wawaliza wafuga majongoo bahari, kaa

Unguja. Wakati Serikali ikihamasisha wananchi kujikita kwenye ufugaji wa kaa na majongoo baharini ili kujikwamua kiuchumi, wafugaji hao wameeleza changamoto ya upepo kuwarejesha nyuma katika jitihada hizo. Wafugaji wa kaa na samaki kutoka Chwaka, wamesema upepo unawaathiri na kuharibu miundombinu yao. Wametoa kauli hiyo leo Jumatatu, Machi 3, 2025, wakati mkuu wa kitengo cha ufugaji…

Read More

SHACMAN AND CFAO MOBILITY IN COLLABORATION TO STRENGTHEN INDUSTRIAL AND LOGISTICS SECTORS IN TANZANIA

CFAO Mobility Tanzania has officially launched Shacman trucks distributorship in the Tanzanian market, reinforcing the country’s growing need for durable and high-performance heavy-duty vehicles. The launch event, held on February 27, 2025 at The Green Grounds in Oysterbay, Dar es Salaam, was graced by the Deputy Permanent Secretary of the Ministry of Industry and Trade,…

Read More

‘Vijana msibweteke, tumieni fursa’

Unguja. Wakati Serikali ikiendelea kuboresha sera na kujenga vituo vya ustadi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar, Fatma Mabrouk Khamis, amewahimiza vijana kutumia fursa zinazotolewa na Serikali ili kujikwamua kiuchumi na kuboresha maisha yao. Akizungumza leo Jumatatu Machi 3, 2025, katika mahafali ya kituo cha mafunzo ya vijana huko Unguja,…

Read More

Wastaafu watarajiwa wapewa mbinu kabla ya kustaafu kazi

Unguja. Imebainika kuwa ili mstaafu aishi maisha mazuri baada ya kustaafu, anahitaji angalau asilimia 70 ya mapato aliyokuwa akipata kabla ya kustaafu. Kutokana na hilo, wataalamu wanashauri kuwa maandalizi yanapaswa kuanza kati ya miaka 20 hadi 30 kabla ya kustaafu, kwa kuwekeza katika biashara walizokuwa na ndoto nazo. Hayo yameelezwa leo Jumatatu Machi 3, 2023 na…

Read More

Ithibati ni muhimu kwa tasnia ya habari – Waziri Prof. Kabudi

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi (kulia) akizindua rasmi Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (Journalists Accreditation Board-JAB) na Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Tido Mhando (kulia) leo Machi 3, 2025 jijini Dar es Salaam.Na Mwandishi Wetu. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba John Aidan…

Read More