Wakenya watatu wahukumiwa miezi mitatu jela

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imewahukumu raia watatu wa Kenya kulipa faini ya Sh1 milioni kila mmoja au kwenda jela miezi mitatu baada ya kutiwa hatiani kwa makosa la kuingia nchini na kufanya kazi ya ushonaji bila kibali cha ukazi. Waliohukumiwa ni Selemani Mohamed (23), Sheban Mdune (23) na…

Read More

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Azindua NBC Kiganjani, Ahimiza Taasisi Za Fedha Kuoanisha Mifumo

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bw Kassim Majaliwa amezindua rasmi huduma za kidijitali za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) inayofahamika kama ‘NBC Kiganjani’ huku akitoa wito kwa mashirika na taasisi za fedha nchini kuhakikisha zinaboresha mifumo ya huduma za kielectronic kwa kuoanisha mifumo baina ya taasisi hizo. Alisema hatua hiyo itarahisisha…

Read More

Serikali yasema ujangili bado ni changamoto nchini

Dodoma. Ujangili wa wanyamapori Tanzania bado ni changamoto inayoilazimu Serikali kuchukua hatua mbalimbali kukabiliana nayo ikiwamo kuanzisha vikosi kazi vya ardhini, majini na angani. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Pindi Chana amesema hayo leo Jumatatu, Machi 3, 2025 wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanyamapori Duniani. Amesema mbali na mafanikio yaliyopatikana katika uhifadhi wa…

Read More

Airpay yakabidhi Vishkwambi zitakavyotumiwa na ZEEA katika usajili, uombaji mikopo kidijitali

KAMPUNI ya Airpay imekabidhi vishkwambi kwa Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (ZEEA) ili viweze kutumika katika usajili na uombaji wa mikopo kwa njia ya kidijitali. Airpay na ZEEA kwa kushirikiana na taasisi nyingine za kifedha imetengeneza mfumo wenye lengo la kuwarahisishia wajasiriamali wa Zanzibar kupata mikopo kidijitali hivyo uwepo wa vishkwambi hivyo vitarahisisha shughuli hiyo….

Read More