Mkufunzi kutoka kampuni ya Taifa Gas,Praygod Ole Naiko akionesha kwa vitendo matumizi ya jiko la gesi kwa washiriki wa mafunzoMmoja wa washiriki akionesha matumizi ya
Month: March 2025

SIMBA imerejea kambini jana tayari kwa maandalizi ya mchezo ujao wa Dabi ya Kariakoo, huku kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Kibu Denis akifichua beki Abdulrazack

Bilionea Elon Musk (kushoto), Rais wa Marekani Donald Trump (kulia) Bilionea Elon Musk ametangaza hadharani kuunga mkono wazo la Marekani kujiondoa Umoja wa Mataifa (UN)

Dar es Salaam. Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) kwa kushirikiana na CRDB Bank Foundation wamezindua mwongozo rahisi kwa wajasiriamali wachanga, wadogo na

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya TPC wakionesha furaha yao wakati wakiendesha baiskeli zilizotolewana taasisi ya ABC Impact kama sehemu ya msaada ukilenga kuondoa changamoto

MAMBO ni moto kwelikweli! Hivyo ndivyo ilivyo katika Ligi Kuu Bara wakati mashabiki wa soka nchini wakijiandaa na kipute cha mchezo wa Dabi ya Kariakoo

Watu sita wamefariki dunia na wengine 49 wamejeruhiwa baada ya ajali kutokea eneo la Chigongwe, Dodoma, usiku wa Machi 3, 2025. Ajali

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameendelea kufungua fursa za kuwawezesha wananchi kiuchumi

Rais Dkt. Samia afuturisha Watoto Yatima na Watoto wenye mahitaji Maalum, Ikulu Jijini Dar es Salaam
Watoto yatima pamoja na watoto wenye mahitaji maalum wakiwa kwenye Iftar iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,

YANGA imerudi kazini kuanza maandalizi ya kwenda kupambana na watani wao Simba waliorejea jijini Dar es Salaam juzi ikitokea Arusha, ilipoenda kucheza mechi ya Ligi