Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amekataa kuomba msamaha baada ya mabishano makali na majibizano ya maneno na mwenzake wa Marekani, Donald Trump
Month: March 2025

Morogoro. Watu wawili wamethibitika kufariki dunia papohapo katika tukio la ajiali lililohusisha magari mawili kugongana uso kwa uso na kuwaka moto katika eneo la nanenane

Na Emmanuel Buhohela – Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amesema ongezeko la idadi ya Wanyamapori katika hifadhi za

HOMA ya pambano la Dabi ya Karikoo, imeanza kupanda mapema kwa mashabiki wa Simba na Yanga, kila mmoja akitamba kupta ushindi, japo wale wa Simba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan afuturisha Watoto Yatima na Watoto wenye mahitaji Maalum, Ikulu Jijini Dar

Dar es Salaam. Huenda sasa kilio cha foleni kwa wanaotumia vyombo vya moto vya gesi kikapungua kutokana na ongezeko la vituo vya kujazia gesi, wachambuzi

BENKI YA CRDB, UNDP zazindua programu kuwasaidia wafanyabiashara kufikia Soko Huru la Afrika (AfCTA)
Taasisi ya CRDB Bank Foundation (CBF) kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa (UNDP), leo wamezindua mwongozo uliorahisishwa kwa wajasiriamali wadogo na wa kati

KWA kiwango anachoonyesha Mbwana Samatta katika Klabu ya PAOK kule Ugiriki ni kama kinawapa mtihani viongozi kuamua hatima yake kutokana na mkataba wake kukaribia mwisho.

KUNA mambo mengi ambayo husababisha wenye uhusiano kuumia roho zao. Leo tuyayaeleza mambo hayo kama ifuatavyo: KUFICHA MAMBO Kuna jambo hata ukijaribu kulificha, ukweli

Tuanze na msemo huu wa Wamarekani wa asili ambao wazungu wa Ulaya waliwaita kimakosa kwa jina la Wahindi wekundu. Hawa wana msemo huu: ‘’Chochote utakachofanya