
Sikufanya lolote baya kwa Trump – Global Publishers
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amekataa kuomba msamaha baada ya mabishano makali na majibizano ya maneno na mwenzake wa Marekani, Donald Trump katika Ikulu ya White House. Mkutano wa viongozi hao wawili katika Ofisi ya Oval, ambao hapo awali ulipangwa kukamilisha makubaliano ya kuipatia Marekani haki ya madini adimu ya Ukraine, uligeuka…