Watu 1,500 hufariki kila mwezi kwa kifua kikuu

Dar es Salaam. Vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB) vimepungua kutoka 56,000 mwaka 2015 hadi 18,400 mwaka 2024, hii ikiwa ni sawa na punguzo la asilimia 68. Katika mgawanyo kitakwimu, ugonjwa wa kifua kikuu huua watu 1,500 kila mwezi nchini, kutoka watu 4,332 mwaka 2015. Kiwango hicho kimesababisha Tanzania kuwa miongoni mwa nchi…

Read More

Itungwe sheria kubana watoto kutunza wazazi

Katika jamii nyingi za Kiafrika kuna mila  zinazotilia mkazo dhana ya uhusiano wa kifamilia na jinsi ambavyo familia zinavyoshirikiana ili kuhakikisha ustawi wa kila mmoja.  Moja ya majukumu makuu ya familia ni kuwalea watoto wao ili waweze kupata elimu bora na hata pale wanapofanikiwa, wawe chachu ya kusaidia wengine. Hata hivyo, hali halisi ya sasa…

Read More

Dhana potofu inavyotesa wanawake kusomea ubaharia

Miaka mitano iliyopita, wanafunzi 14 pekee wa kike ndiyo walikuwa wakisoma kozi ya ubaharia kwenye chuo cha Bahari Dar es Salaam. Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Tumaini Shaban Gurumo anasema, mtazamo hasi juu ya fani ya ubaharia ndiyo chimbuko la wanawake wengi  kuchelewa kuingia kwenye fani hiyo. “Ubaharia  ilidhaniwa ni kazi ambayo ni ya mtaani,…

Read More

Makatibu wa Kanda wailima barua Chadema, wadai mamilioni

Dar es Salaam. Waliokuwa makatibu  wa kanda tano za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamekiandikia chama hicho barua kuomba malipo yao yanayotokana na utumishi wao kwa miaka 10. Makatibu hao ni Gwamaka Mbugi, Emmanuel Masonga, Kangeta Ismail, General Kaduma na Jerry Kerenge, waliokuwa watumishi wa chama hicho katika Kanda za Nyasa, Kati, Magharibi, Kusini…

Read More

Kocha African Sports ala kiapo

LICHA ya African Sports ‘Wanakimanumanu’ kuandamwa na ukata, kocha wa timu hiyo, Kessy Abdallah amesema siyo sababu ya yeye kushindwa kukibakisha kikosi hicho katika Ligi ya Championship msimu ujao, huku akiomba wadau kuwasapoti zaidi. Akizungumza na Mwanaspoti, Kessy alisema kwa wiki kadhaa sasa wamekuwa wakipitia hali hiyo ingawa jambo wanaloshukuru ni kwenda kwa wakati katika…

Read More