Offen Chikola kurudi kivingine | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Tabora United, Offen Chikola amesema mapumziko ya Ligi Kuu Bara kupisha mechi za Kalenda ya FIFA yamemsaidia kuondoa uchovu mwilini uliotokana na  kucheza mechi mfululizo. Chikola ambaye ana mabao saba na asisti mbili katika Ligi Kuu Bara msimu huu, alisema watakaporejea kuendelea na ligi tayari mwili wake upo fiti na ana hamu…

Read More

Wasomi waibua mpya Dk Slaa kurejea Chadema

Dar/Mbeya. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikitangaza kurejea kwa kada wake wa zamani, Dk Willibrod Slaa, wachambuzi wa siasa wameeleza kwamba msimamo na harakati za Dk Slaa zinaendana na uongozi wa sasa, hivyo watashirikiana kwa karibu kusukuma ajenda ya chama. Dk Slaa ametangazwa kurejea Chadema leo Jumapili, Machi 23, 2025, wakati wa uzinduzi…

Read More

Yanayosubiriwa uzinduzi uwanja wa Singida

LEO Jumatatu, Machi 24, 2025, ni siku ya kihistoria kwa wapenda soka wa Mkoa wa Singida na taifa kwa ujumla, kwani klabu ya Singida Black Stars inazindua rasmi uwanja wake mpya. Uzinduzi huu ni hatua kubwa kwa klabu hiyo, ambayo imeendelea kuwekeza katika miundombinu ya michezo ili kuinua kiwango cha soka nchini. Uwanja huo uliopo…

Read More

Tanzania kuanza na Uganda kriketi T20 Nigeria

TIMU ya taifa ya vijana ya kriketi ina matumani ya kuendelea kufanya vyema katika michuano ya vijana wa chini ya miaka 19 ambayo inanza kuchezwa mjini Lagos, Nigeria mwishoni mwa juma hili. Tanzania itafungua na Uganda kwenye Uwanja wa TBS Cricket Oval uliopo jijini Lagos, ambao ndiyo mahakama ya michuano hii ambayo itaanza rasmi siku…

Read More

Mastraika Mbeya City wanogesha hat trick

WAKATI zikibaki mechi sita kuhitimisha msimu huu wa Ligi ya Championship, washambuliaji wa Mbeya City wamekuwa tishio kufunga mabao matatu kwa mechi moja yaani ‘hat-trick’, tofauti na nyota wengine kutoka timu mbalimbali zinazoshiriki. Hadi sasa jumla ya hat trick nne zimefungwa ikibakisha moja tu kuifikia rekodi ya msimu uliopita zilipofungwa tano huku Mbeya City ikitoa…

Read More

Ceasiaa Queens yalia na uchovu

LICHA ya Ceasiaa Queens kupata ushindi mnono wa mabao 5-2 dhidi ya Mlandizi Queens wamesema uchovu umewafanya kutokuwa na mchezo mzuri. Ceasiaa iko nafasi ya tano kwenye msimamo wa ligi kwa pointi 16 baada ya mechi 12 ikishinda mechi tano, sare moja na kupoteza sita ikifunga mabao 20 na kuruhusu 26. Kocha mkuu wa timu…

Read More

Ushambuliaji, ulinzi tatizo Fountain Gate

BAADA ya mapumziko ya takribani siku tano, kikosi cha Fountain Gate kimerejea kambini kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Black Stars, Aprili 2, huku kocha wa kikosi hicho, Mkenya, Roberto Matano akikomalia mambo mawili yanayoonekana kuwa tatizo sugu kwao. Timu hiyo katika michezo 23 ya Ligi Kuu Bara msimu huu,…

Read More

Mwambusi ashtukia jambo Coastal Union

KOCHA wa Costal Union ya Tanga, Juma Mwambusi, ameshtukia kitu ndani ya timu hiyo huku akijipanga kukomaa na safu yake ya ulinzi iliyoonyesha dosari kubwa huku zikisalia mechi saba kumaliza msimu huu wa Ligi Kuu Bara. Hatua hiyo ya Mwambusi inakuja baada ya kikosi chake kujipima nguvu dhidi ya Taifa Stars, kwenye mchezo wa kirafiki…

Read More