Makalla azusha tafrani, wadau wamkalia kooni

Dar es Salaam. Kauli yenye tuhuma iliyotolewa na Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla imezusha sintofahamu huku wadau wakiwamo viongozi wa kisiasa wakimtaka ajitokeze kutoa ushahidi au aombe radhi. Juzi, Makalla akizungumza na wanachama wa CCM mkoani Simiyu, alitoa shutuma dhidi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia…

Read More

Makatibu wa Kanda wailima barua Chadema, Mnyika atoa ufafanuzi

Dar es Salaam. Waliokuwa makatibu  wa kanda tano za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamekiandikia chama hicho barua kuomba malipo yao yanayotokana na utumishi wao kwa miaka 10. Makatibu hao ni Gwamaka Mbugi, Emmanuel Masonga, Kangeta Ismail, General Kaduma na Jerry Kerenge, waliokuwa watumishi wa chama hicho katika Kanda za Nyasa, Kati, Magharibi, Kusini…

Read More

Wasomi: Kurejea kwa Dk Slaa ni turufu kwa Chadema

Dar/Mbeya. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikitangaza kurejea kwa kada wake wa zamani, Dk Willibrod Slaa, wachambuzi wa siasa wameeleza kwamba msimamo na harakati za Dk Slaa zinaendana na uongozi wa sasa, hivyo watashirikiana kwa karibu kusukuma ajenda ya chama. Dk Slaa ametangazwa kurejea Chadema leo Jumapili, Machi 23, 2025, wakati wa uzinduzi…

Read More

Robo fainali CAF… Mechi ipo hapa

KIKOSI cha Simba kinatarajiwa kuondoka nchini Ijumaa ya Machi 28 mwaka huu kwenda Misri kwa ajili ya mchezo wa kwanza wa hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Masry, utakaopigwa Aprili 2, kwenye Uwanja wa New Suez Canal huku kukiwa na mtego ambao utaamua hatma yao. Taratibu hizo zimeanza mapema…

Read More

WASOMI WATAKA CHADEMA WAFUATE USHAURI WA RAILA ODINGA

*Wasema majadiliano ni njia bora ya kupata suluhu ya masuala yao Wachambuzi wa siasa na wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Richard Mbunda na Dk. Frolence Rutechura, wamewashauri viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufuata ushauri wa mwanasiasa mkongwe wa Kenya, Raila Odinga, wa kutafuta suluhu kwa njia ya majadiliano…

Read More

KITABU CHA MAISHA YA OMWAMI KASHAGA CHAZINDULIWA.

Mgeni rasmi, Profesa wa Historia kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Frederick Kaijage akikata utepe kuzindua kitabu kiitwacho ‘Maisha ya Omwami Evarista Kashaga’ jijini Dar es Salaam Machi 22, 2025. Kulia ni Mwandishi wa kitabu hicho, Mhadhiri Mwandamizi wa Sayansi za Jamii kutoka Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala, Dkt. Frateline Kashaga, Mtaalam mstaafu…

Read More

SHEIKH WA MKOA WA SINGIDA AKABIDHI IFTAR MAGEREZA

    Ofisi ya BAKWATA Mkoa wa Singida kupitia sheikh wa Mkoa wa Singida Issa Bin Nassoro amezipongeza  Ramadhani Charity Programme inayo ongozwa na Ndg. Ahmed Misanga na Taasisi ya  JAI kwa kutoa sadaka Magereza ya Manispaa ya Singida. Hayo ameyasema leo katika ziara yake ya kutembelea Wafunguwa kwenye Gereza la Manispaa ya Singida nakutoa…

Read More

WAFANYABIASHARA TUENDELEE KUWA NA IMANI NA RAIS SAMIA -MAJALIWA

▪️Ampongeza Kamishna TRA kwa kusimamia Weledi patika ukusanyaji wa kodi ▪️Atembelea kiwanda cha uchakataji mazao ya parachichi WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezitaka jumuiya za wafanyabiashara nchini kuendelea kuwa na imani na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani amedhamiria kutatua changamoto zinazohusu masuala ya kodi. Amesema Rais Dkt. Samia anajali changamoto za wafanyabiashara na ndio maana…

Read More

Ufanisi Bandari Dar wavutia wawekezaji wakubwa

Dar es Salaam. Wakati ufanisi wa kazi wa Bandari ya Dar es Salaam ukitajwa kuongezeka, wadau mbalimbali wa biashara wamevutiwa kuitumia katika shughuli zao. Miongoni mwa yanayochochea ufanisi huo ni kupungua kwa muda wa meli za makontena kusubiri kuingia bandarini humo, ambapo Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, Machi 10, mwaka huu akizungumza na waandishi…

Read More