Dk Slaa arejea akiomba radhi Chadema

Dar es Salaam. Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Wilbrod Slaa amewaomba radhi wanachama wa chama hicho huku akishukuru kurejeshewa uanachama kuendeleza harakati za kudai mabadiliko. Dk Slaa ametoa kauli hiyo leo Machi 23, 2025 kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni ya ‘No reforms, no election’ unaofanyika Viwanja vya Ruanda…

Read More

Kocha Zambia amtabiria makubwa Mtanzania

KOCHA wa Trident FC, Arnold Malisawa amemtabiria mshambuliaji wa Kitanzania, kinda Mourice Sichone atakuja kuwa hatari miaka ya mbele akimtaka aongeze bidii na nidhamu tu. Kinda huyo (18) alisajiliwa msimu huu kwenye dirisha dogo akitokea Mpulungu Harbour FC ya nchini Zambia alikocheza mechi 12 na kufunga mabao manne na asisti tano. Akizungumza na Mwanaspoti, Malisawa…

Read More

Papa Francis arejea nyumbani, aibua shangwe kwa waumini

Rome. Hatimaye, Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki, Papa Francis, amerejea nyumbani baada ya kulazwa hospitalini kwa zaidi ya wiki tano akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa nimonia ulioathiri mapafu yake. Katika hali ya udhaifu, Papa Francis alionekana akiwa amebebwa kwenye gari maalumu kutoka Hospitali ya Gemelli mjini Roma, alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa nimonia, hali…

Read More

Kipa Azam amgomea Sadio Mane

KIPA wa Azam FC, Mohamed Mustafa alikuwa langoni kulitumikia taifa lake la Sudan na kuambulia pointi moja katika mchezo uliomalizika kwa matokeo ya 0-0 dhidi ya Senegal iliyokuwa ikiongozwa na Sadio Mane anayecheza Al Nassr ya Saudi Arabia. Mchezo huo wa Kundi B kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026, ulichezwa juzi Jumamosi kwenye Uwanja wa…

Read More

Timu za Kukupa Pesa Zipo Meridianbet Leo

LEO hii tena ni kimbunga ndani ya Meridianbet pesa kibao kumwagika leo kwani timu mbalimbali zinachuana vikali hapo baadae kwenye mechi za Mataifa. Nani kukupatia mkwanja leo?. Ingia Meridinabet na usuke jamvi hapa. Mapema kabisa Hungary baada ya kupigika mechi yake iliyopita, leo hii atakuwa nyumbani kulipa kisasi dhidi ya Turkey ambao kushinda mechi hii…

Read More

Esther Chabruma: Ubingwa bado kabisaaa!

KOCHA wa JKT Queens, Esther Chabruma amesema msimu huu huenda bingwa akatokea mwisho wa msimu kutokana na ushindani uliopo kwenye ligi hiyo. Huu ni msimu wa pili kwa Chabruma kusimama kama kocha mkuu wa JKT, baada ya mwaka jana kupoteza ubingwa mbele ya Simba. Akizungumza na Mwanaspoti, Chabruma alisema ligi msimu huu imekuwa na ushindani…

Read More

Wakulima wa tumbaku Shinyanga walalama kuathiriwa na ukame

Shinyanga. Mabadiliko ya tabianchi, ikiwa ni pamoja na mvua za mawe na ukame mkali, yameathiri uzalishaji wa zao la tumbaku wilayani Kahama, mkoani Shinyanga, na kusababisha hasara kwa wakulima. Katika msimu wa kilimo wa 2024/25, zaidi ya ekari 500 za tumbaku zimeathiriwa na hali ya hewa isiyotabirika, ambapo mvua za mawe na ukame zimesababisha kupotea…

Read More