WAZIRI RIDHIWANI AHIMIZA WANAGENZI KUZINGATIA UJUZI WANAOPATIWA VYUONI

Na, Mwandishi Wetu – SINGIDA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete, amewasihi vijana wanufaika wa mafunzo ya ufundi stadi kuzingatia ujuzi wanaopatiwa vyuoni ili waweze kuweza kujiajiri ama kuanzisha shughuli ambazo zitawaingizia kipato. Aidha, amewataka vijana hao kuhakikisha wanafanya vizuri katika mafunzo hayo yanatolewa kwa…

Read More

Mynaco: Kufunga, kuzuia mbona kawaida tu

KIUNGO wa Zed FC ya Misri, Maimuna Hamis ‘Mynaco’ amesema kufunga na kuzuia kwake ni kawaida sana ndio maana anasifika kwa jambo hilo. Kiungo huyo wa zamani wa Simba Queens, Yanga Princess na JKT Queens huu ni msimu wake wa pili kuitumikia timu hiyo na amekuwa kiungo tegemeo. Akizungumza na Mwanaspoti, Mynaco ambaye anaweza kumudu…

Read More

Kibwana afichua jambo kuhusu Aziz KI

MRATIBU wa Yanga Princess, Kibwana Matokeo amesema kiungo mshambuliaji wa Yanga, Aziz KI amekuwa mtu muhimu kwenye matokeo ya timu hiyo akiwapa sapoti wachezaji wa kike. Aziz KI kwenye mechi mbalimbali za Ligi ya Wanawake amekuwa akionekana uwanjani, Yanga Princess inapocheza ikiwamo mchezo wa juzi wa dabi dhidi ya Simba Queens. Akizungumza na Mwanaspoti, Matokeo…

Read More

Chadema yatangaza kumrejesha Dk Slaa

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu akipokewa na viongozi na wafuasi wa chama hicho alipowasili kwenye Viwanja vya Ruanda Nzovwe jijini Mbeya kuzindua kampeni ya ‘No reforms, no election’ leo Jumapili, Machi 23, 2025. Lissu amewasili kwenye viwanja hivyo akiwa ameongoza na aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Wilbrod Slaa….

Read More

Kocha Simba Queens atoa neno

KOCHA Mkuu wa kikosi cha Simba Queens, Yussif Basigi amesema timu hiyo inapaswa kuwa makini na michezo iliyosalia ya Ligi Kuu ya Wanawake. Wikiendi iliyopita timu hiyo ilipoteza ikiwa nyumbani dhidi ya mtani wake Yanga Princess kwa bao 1-0 uwanjani KMC Complex ikiwa ni mechi ya kwanza kwa kocha huyo Mghana kupoteza tangu kutua nchini…

Read More

Mfumo wa ‘Force Acoount’ waipa matokeo chanya IAA

Dar es Salaam. Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imesema imeridhishwa na ufanisi na ubora wa majengo yanayoendelea kujengwa ndani ya Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), kupitia mapato ya ndani kwa kutumia wataalamu wa ndani yaani mfumo wa ‘Force Account’ Hayo yamebainishwa katika ziara ya kikazi ya kamati hiyo, baada ya…

Read More

Selemani Mwalimu mdogo mdogo Wydad AC

LICHA ya kutopata nafasi kwenye kikosi cha Wydad AC, mshambuliaji wa Kitanzania, Selemani Mwalimu ‘Gomez’ ameanza kuingia kwenye mfumo wa kikosi hicho kinachoshiriki Ligi Kuu nchini Morocco. Januari 31 nyota huyo alitambulishwa kwa mabingwa hao wa zamani wa Ligi ya Mabingwa Afrika akitokea Fountain Gate alikokuwa anacheza kwa mkopo kutoka Singida Black Stars kwa mkataba…

Read More