Shule ya Sekondari Green Acres kutumia nishati mbadala

Na mwadishi Wetu. Katika jitihada za kuunga mkono juhudi za Rais wa awamu ya Sita Dk.Samia Suluhu Hassan za kuhifadhi mazingira Shule ya Green Acres ya Mbezi Beach Dare s Salaam sasa inajipanga kutumia nishati mbadala katika matumizi ya kupikia shuleni hapo. Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Jonathan Kasabila alisema kuwa shule hiyo ilifanya upembuzi…

Read More

Simchimba afufua vita upya ya ufungaji

MABAO mawili aliyofunga mshambuliaji wa Geita Gold, Andrew Simchimba katika ushindi wa timu hiyo wa 3-0, dhidi ya Mbeya Kwanza Jumatatu ya Machi 17, yamemfanya kufikisha 15, ikiwa ni idadi sawa na ya kinara Raizin Hafidh wa Mtibwa Sugar. Wengine ni Abdulaziz Shahame ‘Haaland’ wa TMA aliyefunga mabao 13, Naku James (Mbuni FC) mwenye 11,…

Read More

Kasi magonjwa yasiyo ya kuambukiza yamtisha Othman

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman amesema kuna haja Serikali kuongeza kasi ya utoaji elimu ya magonjwa yasiyoambukiza kwa kuwa yanaonekana kuongezeka kwa kasi. Othman amesema hayo alipokuwa ziarani Pemba na Unguja kuangalia wagonjwa, wazee na watu wasiojiweza. Akizungumza baada ya kukamilisha ziara Mkoa wa Mjini Magharibi leo Jumapili Machi…

Read More

Msewa anavyoikomboa Trabzonspor | Mwanaspoti

KIUNGO Mtanzania, Diana Msewa anayekipiga Trabzonspor inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini Uturuki amekuwa mkombozi kwenye kikosi hicho tangu asajiliwe msimu huu akitokea Amed SK. Trabzonspor iko nafasi ya sita kwenye msimamo wa ligi ikishinda mechi 12 sare tatu na kupoteza sita ikikusanya pointi 39 kwenye michezo 21. Tangu atue klabuni hapo msimu huu akitokea Amed…

Read More

Vigogo Championship wahamishia nguvu FA

BAADA ya kushuhudia Mbeya City ikiwa timu ya kwanza ya Championship kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), miamba wengine watatu waliobaki katika mashindano hayo watashuka kwenye viwanja mbalimbali kusaka pia tiketi hiyo. Stand United iliyoichapa Fountain Gate kwa penalti 4-3, baada ya sare ya 1-1, itakuwa kwenye Uwanja wa Kambarage mjini…

Read More

Masoud atuliza presha Chama la Wana

KOCHA wa Stand United ‘Chama la Wana’, Juma Masoud amewataka mastaa wa timu hiyo kuacha kuangalia kile ambacho wapinzani wao wakubwa Mtibwa Sugar na Mbeya City wanachokifanya, bali wawekeze nguvu katika kila mchezo wanaocheza sasa. Akizungumza na Mwanaspoti, Masoud alisema anachokitaka ni kuona wachezaji wanaendelea kupambana zaidi uwanjani kwa kila mchezo wanaocheza kwa sasa bila…

Read More

Othman ataka jamii ielimishwe kuhusu magonjwa yasiyoambukiza

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman amesema kuna haja Serikali kuongeza kasi ya utoaji elimu ya magonjwa yasiyoambukiza kwa kuwa yanaonekana kuongezeka kwa kasi. Othman amesema hayo alipokuwa ziarani Pemba na Unguja kuangalia wagonjwa, wazee na watu wasiojiweza. Akizungumza baada ya kukamilisha ziara Mkoa wa Mjini Magharibi leo Jumapili Machi…

Read More