Wadau wahoji ziara ya vigogo Chadema kwa Odinga

Dar es Salaam. Chadema kugeukia heandshake? ndilo swali linaloumiza vichwa vya baadhi ya wadau wa siasa, baada ya viongozi wa chama hicho kukutana na waziri mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga anayetambulika kwa historia yake ya siasa za maridhiano. Jana Jumamosi Machi 22, 2025 Odinga alikutana na viongozi wakuu wa Chadema wakiongozwa na Tundu…

Read More

Tanzania vs Mali kriketi T20, si kioja tena

Mechi ya ufunguzi ya kusaka tiketi ya kucheza michuano ya dunia ya ICC Ligi B kati ya Tanzania na Mali lilikuwa ni gumzo kubwa na majibu yake yamekuja hivi karubuni baada ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi kutangaza rasmi kujitoa katika jumuiya ya nchi zinazoongea Kifaransa. Mali iliishangaza sana tasnia ya kriketi kwa kushiriki kikamilifu…

Read More

Sababu zitakazombeba Profesa Janabi kushinda WHO

Dodoma. Serikali imeainisha sababu zinazomfanya Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi, kuwa na uwezo wa kushinda katika uchaguzi wa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa kanda ya Afrika. Nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika iliachwa wazi na Dk Faustine Ndugulile, ambaye alifariki dunia Novemba 27, 2024,…

Read More

Sababu zitakazombeba sababu ya Profesa Janabi kushinda WHO

Dodoma. Serikali imeainisha sababu zinazomfanya Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi, kuwa na uwezo wa kushinda katika uchaguzi wa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa kanda ya Afrika. Nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika iliachwa wazi na Dk Faustine Ndugulile, ambaye alifariki dunia Novemba 27, 2024,…

Read More

Ujenzi daraja la Kigongo – Busisi kukamilika Aprili 30

Mwanza. Serikali imesema ujenzi wa daraja la Magufuli (Kigongo – Busisi) utakamilika rasmi Aprili 30, 2025 na kuanza kutumika rasmi. Hata hivyo, hadi kufikia Aprili 10, 2025, magari yataanza kupita upande mmoja wa barabara kwenye daraja hilo lenye urefu wa kilomita tatu ambalo ujenzi wake kwa sasa umefikia asilimia 97. Daraja hilo linaunganisha barabara kuu…

Read More

Wawili waliohukumiwa kifo kwa kumuua bodaboda waachiwa huru

Arusha. Mahakama ya Rufani imewaachia huru Fred Nyagawa na Isaya Mgimba, waliokuwa wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia ya kumuua dereva bodaboda, Mchape Mkosa. Aidha, Mahakama hiyo imethibitisha hukumu ya kunyongwa hadi kufa aliyokuwa amehukumiwa James Mteleke. Fred, Isaya na James walihukumiwa adhabu hiyo na Mahakama Kuu Kanda ya Iringa, Novemba 12,…

Read More