Huu hapa mwarobaini wa talaka za uzeeni

Dar es Salaam. Ndoa ni muungano wa maisha kati ya wanandoa unaotarajiwa kudumu kwa muda mrefu maishani. Ni muungano ambao kimsingi hupaswa kukoma pale mmoja anapofikwa na umauti, Ndio sababu watu wanapofunga ndoa hula kiapo cha kukubali kuishi kwa mazuri na mabaya hadi kifo kiwatenganishe. Hata hivyo, hali haiko hivyo, ongezeko la talaka nchini linatisha. Takwimu…

Read More

Namna uchumi wa familia usivyofundishwa shuleni

Shule nyingi hazimuandai mwanafunzi katika eneo la elimu kuhusu fedha. Shule chache ambazo hutoa elimu ya fedha hufanya hivyo kwa mtazamo wa jumla. Kuna maarifa muhimu ya uchumi wa familia ambayo mara nyingi hayajumuishwi kwenye mitalaa rasmi. Maarifa haya ni muhimu kwa kila mtu ili kujenga msingi mzuri wa usimamizi wa fedha binafsi na kuhakikisha…

Read More

BAWASA/MBUWASA NA KIBAYA WAPITISHA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA 2025/2026

Na Mwandishi wetu, Babati MAMLAKA za majisafi na usafi wa mazingira Mkoa wa Manyara, imepanga makadio ya matumizi ya mpango wa bajeti kwa mwaka 2025/2026 ya shilingi 28,224,455,064.00. Katika makadirio hayo matumizi ya uendeshaji ni shilingi 10,302,892,869.00 gharama za uwekezaji ni 507,329,245.00 na Serikali kuu shilingi 17,414,232,950.00 Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira…

Read More

Kilio uchache mabasi mwendokasi kukoma miezi mitatu ijayo

Dar es Salaam. Kiu ya wananchi kuhusu nyongeza ya mabasi yaendayo haraka katika Barabara ya Morogoro, inatarajiwa kukatwa miezi mitatu ijayo. Hiyo ni baada ya Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (Udart) kuweka wazi kuwa, baada ya miezi hiyo mabasi yote 100 yaliyoagizwa yatakuwa nchini tayari kutoa huduma. Taarifa hiyo inakuja katika kipindi ambacho, huduma za…

Read More

Faida ya wazazi kutenga muda kusikiliza watoto

Dar es Salaam. Je, wewe mzazi au mlezi katika ratiba yako ya siku nzima,  huwa unatenga muda kwa ajili ya kusikiliza yale anayotaka kukuambia au kukusimulia mtoto? Katika mzunguko wa siku nzima watoto hukutana na mambo mbalimbali ambayo wanaporudi nyumbani, hutamani kuwahadithia walezi ama wazazi wao wakati mwingine kwa lengo la kujua uzuri au ubaya…

Read More

WATAALAM WA UJENZI MKOA WA RUVUMA WAANZA KIKAO KAZI MBAMBABAY

    Albano Midelo na Netho Sichali,Mbambabay Wataalamu wa ujenzi kutoka Halmashauri zote nane za Mkoa wa Ruvuma wameanza kikao kazi  cha kuwajengea uwezo  kuhusu usimamizi na ufuatiliaji katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili kuhakikisha miradi yote  mwaka 2024/2025  inakamilika kabla ya Mei 30 mwaka huu. Kikao kazi hicho kimefanyika kwenye ukumbi wa St.Vinsenti…

Read More

Sababu Mkuchika kutogombea tena ubunge Newala Mjini

Dar es Salaam. Mbunge wa Newala Mjini (CCM), George Mkuchika ameeleza sababu za kutogombea tena ubunge katika jimbo hilo kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 ikiwamo ya uzee. Mkuchika ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), aliwaeleza hayo wananchi jimboni kwake, jana, Machi 22, 2025. Kabla ya kuzungumza na wananchi hao,…

Read More