MKUU WA WILAYA YA SONGEA ALIA NA MIGOGORO WALIMU,AMTAKA MSAJILI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI KUTOSAJILI VYAMA VIWILI TAASISI MOJA

Na Muhidin Amri,Songea MKUU wa Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma Kapenjama Ndile,ametoa Ushauri kwa Msajili wa Vyama vya Wafanyakazi Nchini, kutafakari upya kuhusu kuwepo kwa Chama zaidi ya kimoja cha wafanyakazi wa kada moja ili kuondoa migogoro na migongano inayochangia kushuka kwa nidhamu sehemu ya kazi.Ndile amesema hayo jana,wakati akizungumza na walimu kwenye Mkutano wa…

Read More

‘Maneno na matendo vina maana kubwa kwenye familia’

Mwenendo wa maisha ya wazazi unajumuisha maneno, matendo, tabia, mila, na desturi wanazozitumia kuendesha maisha yao ya kila siku. Mwanafalsafa Shadrack Gamaldhin kutoka Gambia aliwahi kusema: “Maneno yako ndiyo matendo yako, matendo yako ndiyo tabia yako, tabia yako ndiyo desturi yako na desturi yako ndiyo maisha yako.” Kauli hii inatoa msingi wa kuelewa jinsi malezi…

Read More

Bank of Africa Tanzania yajipanga kuwapatia huduma bora za kidigitali wateja wake Zanzibar.

WANANCHI na wakazi wa Zanzibar wameaswa kuendelea kuchangamkia huduma na bidhaa kutoka Bank of Africa Tanzania kwa sababu serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) inatambua mchango wa benki hiyo katika kuunga mkono jitihada za Serikali za kukuza kwa uchumi wa wananchi.- Akizungumza kwenye Iftar iliyoandaliwa na benki hiyo mwishoni mwa wiki mjini Mtoni, Unguja, Zanzibar, Mkurugenzi…

Read More

90 za kujiuliza kwa Abuya, Rupia

MECHI za kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 kwa Ukanda wa Afrika zinatarajiwa kuendelea leo Jumapili na nyota wawili wanaocheza Ligi Kuu Bara katika timu za Yanga na Singida Black Stars, watakuwa wakilitumikia taifa lao la Kenya. Nyota hao ni kiungo wa Yanga, Duke Abuya na mshambuliaji wa Singida Black Stars, Elvis Rupia ambao walishuhudia…

Read More

Mambo sita yashikilia Kariakoo Dabi

YANGA imeweka ngumu ikisema haitatia timu kwenye mchezo namba 184 dhidi ya Simba ambao uliota mbawa, baada ya kushindwa kuchezwa Machi 8, 2025 pale Uwanja wa Benjamin Mkapa, lakini mabosi wa juu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) wanasema mechi itapangwa na watacheza. Mpaka sasa mvutano huo haujapata mwafaka wa kipi kitamaliza sakata hilo au…

Read More

Vatican yatoa taarifa njema kuhusu Papa Francis

Roma. Kiongozi wa Kanisa Katoliki, Papa Francis (88) anatarajiwa kutolewa hospitalini leo Jumapili Machi 23, 2025, baada ya kukaa zaidi ya mwezi mmoja akitibiwa maradhi ya nimonia ya mapafu. Taarifa ya Papa Francis kutolewa hospitalini baada ya afya yake kuimarika imetolewa jana (Jumamosi) jioni na Sergio Alfieri, ambaye ni Mkuu wa timu ya madaktari wanaomuhudumia…

Read More

TANROADS MANYARA WAPITISHA BAJETI YAO

Na Mwandishi wetu, BabatiWAKALA wa barabara nchini (TANROADS) Mkoa wa Manyara, imeandaa mapendekezo ya mpango wa bajeti ya shilingi 11,529.313 kwa ajili ya kazi za matengenezo na shilingi 164,554.267 ya kazi za maendeleo kwa mwaka wa fedha wa 2025/2026.Meneja wa TANROADS Mkoa wa Manyara, Dutu Masele ameyasema hayo wakati akizungumza kwenye kikao cha ushauri kamati…

Read More

Makocha wafichua kinachombeba Fei Toto kutua Simba

UNAKUMBUKA namna ambavyo Clatous Chama wakati anaichezea Simba alivyokuwa akihusishwa na Yanga kila kinapofika kipindi cha usajili kabla ya msimu huu dili hilo kuwa kweli? Basi ishu hiyo imehamia kwa Feisal Salum ‘Fei Toto’ ambaye ni msimu mmoja sasa unakatika tangu ameanza kuhusishwa na Wanamsimbazi. Kiungo huyo ametajwa kuwa na mambo manne yanayombeba zaidi huku…

Read More