ILANI YA CCM UCHAGUZI MKUU UJAO ITAKUWA NA MAJIBU YA CHANGAMOTO ZA VIJANA-WASIRA

Said Mwishehe,Michuzi TV-Kagera MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema kuwa Chama kinafahamu changamoto ambazo vijana wanakumbana nazo na kwamba Ilani ijayo ya Uchaguzi Mkuu 2025-2030, itakuja na majibu ya shida zao. Wasira ameyasema hayo leo Machi 22, 2025 alipokuwa akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Kemondo Wilaya ya…

Read More

ASMA MWINYI AFTARISHA WATU WA SURA MFANANO

Na Madina Khatib, Zanzibar NAIBU Waziri ya maendeleo ya jinsia, wazee na watoto Zanzibar, Anna Athanas Paul, amesema taasisi ya Asma Mwinyi Foundation imekuwa na mchango mkubwa katika jamii hasa katika kuhakikisha kuwa haki za watoto na watu wenye ulemavu wakiwemo wenye sura mfanano zinaendelezwa na kuheshimiwa. Akizungumza katika hafla ya Iftar iliyoendana na maadhimisho…

Read More

Dk Nchimbi atuma salamu kwa wabadhilifu CCM

Dodoma. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ametuma ujumbe kwa wanachama wasio waadilifu ndani ya chama hicho, akisema wanaendelea kuwaandaa watu waadilifu kama Mwekahazina wa CCM, Dk Frank Hawassi. Dk Nchimbi ameyasema hayo leo, Jumamosi Machi 22, 2023 kwenye ibada ya kumuaga mke wa Dk Hawassi, marehemu Damaris Hawassi, iliyofanyika katika…

Read More

CCM yaahidi ilani itakayotatua changamoto za ajira kwa vijana

Bukoba. Katika kukabiliana na uhaba wa ajira Tanzania, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) -Bara, Stephen Wasira amesema chama hicho kitakuja na ilani bunifu kwenye uchaguzi mkuu 2025 ili kuongeza kasi ya mapato kwa wananchi wote ikiwemo vijana kufanikiwa kiuchumi. Amesema ilani hiyo itasaidia kukabiliana na changamoto ya uchache wa ajira na lawama kubwa…

Read More

Taasisi za Ulinzi wa Mlaji zimetakiwa kushirikiana na FCC

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Suleimani Jafo, amezitaka taasisi zote za serikali zinazohusika na ulinzi wa mlaji kufanya kazi kwa pamoja  ili kuhakikisha haki za watumiaji zinalindwa. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya Siku ya Haki za Watumiaji Duniani, Dkt. Jafo amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya mamlaka mbalimbali za udhibiti…

Read More