Stars yapewa refa ‘nuksi’ Morocco

REFA asiye na historia nzuri na timu za Tanzania, Alhadi Allaou Mahamat kutoka Chad, ndiye amepangwa kuchezesha mechi ya ugenini ya Taifa Stars’ dhidi ya Morocco, Jumatano Machi 26, 2025 ya kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026. Mchezo huo utachezwa kwenye Uwanja wa Manispaa, mjini Oujda, kuanzia saa 6:30 usiku kwa muda wa…

Read More

Serikali kushirikiana na wadau kutengeneza fursa za ajira kwa vijana

Dar es Salaam. Wakati kilio cha ajira kwa vijana kikiendelea kushika kasi nchini, Serikali imeahidi kuendelea kushirikiana na wadau katika kutengeneza fursa mbalimbali kwa kundi hilo. Fursa hizo ni zile zitakazowajengea uwezo vijana na kuwapa maarifa yatakayowawezesha kujiajiri na kuajiri wengine. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Patrobas…

Read More

Kuhifadhi barafu – maswala ya ulimwengu

Glaciers katika SADC ni pamoja na zile zinazopatikana kwenye Mount Kilimanjaro (Tanzania), kwenye Milima ya Drakensberg (Afrika Kusini na Lesotho, pichani), kwenye Mafadi Peak (Afrika Kusini), na kwenye Maloti Range (Lesotho) na Ras de Gallo Range (Mozambique). Mikopo: Shutterstock. Maoni na Thokozani Dlamini (Pretoria, Afrika Kusini) Ijumaa, Machi 21, 2025 Huduma ya waandishi wa habari…

Read More

Sababu za kupungua miamala ya kutoa kwa mawakala

Dar es Salaam. Wakati kiwango cha fedha kinachowekwa benki kupitia mawakala kikiongezeka kuliko kile kinachotolewa, wachumi wamesema inaweza kuwa moja ya hatua nzuri kueleke uchumi wa kidijitali. Ripoti ya uchumi wa kikanda ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inaonyesha kuwa katika robo ya mwaka iliyoishia Septemba 2024 zaidi ya Sh25.84 trilioni zilizowekwa benki katika kipindi…

Read More

Mayanga aanza na mabao Mashujaa

SIKU chache baada ya kuungana na Mashujaa FC, Kocha mkuu wa timu hiyo, Salum Mayanga amesema hawapi majukumu washambuliaji pekee kufunga katika kikosi hicho, bali amewapa uhuru wachezaji wote kuifanya kazi hiyo. Kwa sasa Mashujaa inajiandaa na mchezo wa Kombe la Shirikisho (FA) Machi 29, 2025 dhidi ya Pamba Jiji, huku timu hiyo katika mechi…

Read More

Afrika Kusini yatoa mshindi wa Sh30 milioni mashindano ya Quran

Unguja. Wakati yakifanyika mashindano ya kuhifadhi Quran kwa Afrika, Mohamed Amejair (23) kutoka Afrika Kusini ameibuka kidedea na kujinyakulia kitita cha Sh30 milioni, huku Rais Hussein Mwinyi akisema yanaitangaza Zanzibar kimataifa. Mashindano hayo yamefanyika leo Machi 22, 2025 katika Uwanja wa Aman Complex, Unguja mgeni rasmi akiwa Dk Mwinyi. Yamewashirikisha vijana 10 waliohifadhi Quran juzuu…

Read More

Janga shinikizo la juu la damu kwa watoto likiongezeka

Dar es Salaam. Watafiti wametahadharisha juu ya ongezeko la shinikizo la juu la damu kwa watoto wa shule za awali nchini, chanzo kikitajwa kuwa ni unene kupita kiasi. Utafiti uliofanyika katika wilaya za Kinondoni na Ilala mkoani Dar es Salaam na kuchapishwa Machi 19, 2025 katika Jarida la Italian linaloangazia magonjwa kwa watoto, unaonyesha asilimia…

Read More

Wanawake wa ADC wajitosa kusaka mwarobaini mikopo ya ‘kausha damu’

Mwanza. Wakati mikopo umiza hususan ‘kausha damu’ ikitajwa kuwa kikwazo cha wanawake kufikia malengo yao kiuchumi, Jumuiya ya Wanawake wa chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) imejitosa kusaka mwarobaini wa changamoto hiyo. Akizungumza leo Jumamosi Machi 22, 2025, walipofanya ziara katika ofisi ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Kanda ya Ziwa, Naibu Katibu Mkuu wa…

Read More