Wajawazito Mwanza kushiriki marathoni, faida zatajwa

Mwanza. Wajawazito wametakiwa kushiriki mazoezi na mbio fupi ikielezwa kwamba yanasaidia kuimarisha mwili, mzunguko wa damu na kuzuia magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo presha, kisukari na kupunguza uzito. Ushauri huo umetolewa Machi 21, 2025 na Mratibu wa Huduma ya Afya ya Uzazi katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Bertha Yohana, akieleza kuwa kutokana na umuhimu wa wajawazito…

Read More

Cosota ilivyokabiliana na migogoro 136 ya hakimiliki

Dodoma. Ofisi ya Hakimiliki Tanzania (Cosota) imesema imepokea jumla ya migogoro 136 inayohusiana na masuala ya hakimiliki ambapo migogoro 118 imefanyiwa kazi na kumalizika, migogoro 10 imefikishwa mahakamani huku migogoro minane ikiwa kwenye hatua mbalimbali za utatuzi. Ofisi hiyo imeshiriki kutoa ushahidi kwenye migogoro 10 inayohusu hakimiliki ambayo inaendelea mahakamani mpaka sasa. Hayo yamebainishwa Ijumaa…

Read More

Dereva anayetuhumiwa kuiba mafuta, kuchoma lori akamatwa

Morogoro. Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia dereva wa lori la mafuta la kampuni ya Meru, Abubakar Mwichangwe anayetuhumiwa kula njama na kuiba mafuta aliyokuwa akisafirisha kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Lubumbashi, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kisha kuchoma moto gari hilo kwa lengo la kupoteza ushahidi. Kamanda wa Polisi Mkoa…

Read More

BALOZI NCHIMBI MSIBANI KWA HAWASSI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwa kwenye msiba wa Bi. Damaris Simeon Hawassi, aliyekuwa mke wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Uchumi na Fedha, Dkt. Frank Haule Hawassi, nyumbani kwa marehemu, eneo la Mihuji, jijini Dodoma, leo Jumamosi, tarehe 22 Machi 2025. Mbali na kusaini…

Read More

Tanzania mbioni kuiuzia umeme kampuni ya Zambia

Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) lipo katika mchakato wa kuuza umeme kwa kampuni ya Kanona ya nchini Zambia. Tanesco imethibitisha uwepo wa mazungumzo hayo katika taarifa yake iliyotolewa leo Jumamosi Machi 22, 2025, ikisema mazungumzo hayo yalikuwa katika hatua ya awali. Meneja wa maendeleo ya biashara wa Tanesco, Magoti Mtani, amesema ni…

Read More

Watoto kutibiwa moyo bure Zanzibar

Unguja. Changamoto ya gharama inayowakabili wazazi ambao watoto wao wana matatizo ya moyo, huenda imepata ufumbuzi baada ya kampuni ya simu ya Vodacom kulipia asilimia 30 ya gharama za matibabu. Kwa kawaida visiwani hapa watoto wenye matatizo ya moyo asilimia 70 ya gharama za matibabu hutolewa na Serikali huku asilimia 30 ikitolewa na wazazi wa…

Read More

Abood aivaa Zimamoto ajali ya moto Morogoro

Morogoro. Kufuatia ajali ya moto iliyoteketeza karakana na mabanda ya kuuzia samani za ndani katika Mtaa wa Ngoto mjini ya Morogoro, Mbunge wa jimbo hilo, Abdulaziz Abood amelitupia lawama Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Morogoro kuwa utendaji kazi wake hauridhishi katika kukabiliana na majanga ya moto. Abood ameyasema hayo baada ya kufika eneo…

Read More

Siku ya Ulimwenguni kwa barafu za barafu

Khumbu Glacier katika mkoa wa Mt. Everest huko Nepal. Ripoti mpya inasema Glacier Melt huongeza hatari ya kupata athari na athari za kuongezeka kwa uchumi, mazingira, na jamii, sio tu katika mikoa ya mlima bali katika kiwango cha ulimwengu. Mikopo: Tanka Dhakal/IPS na Tanka Dhakal (Bloomington, USA) Jumamosi, Machi 22, 2025 Huduma ya waandishi wa…

Read More