Katika kuadhimisha siku ya wanawake Tamwa Z’bar Yazindua Ripoti Nafasi Za Wanawake Kwenye Michezo

Na Nihifadhi Abdulla Zanzibar. CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake Zanzibar (TAMWA ZNZ) kimeadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kuzindua ripoti maalum inayoangazia nafasi za wanawake katika uongozi wa michezo. Ripoti hiyo, iliyozinduliwa katika ofisi za TAMWA Z huko Tunguu, Zanzibar kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ), imebeba kauli mbiu “Ushiriki wa…

Read More

Walimu wengine 189 waajiriwa, majina haya hapa

Dar es Salaam. Serikali imewaita kazini walimu wapya 189 ambao walifanyiwa usaili na baadhi waliopo katika kanzidata. Walimu hao wameitwa kazini ikiwa ni siku tisa tangu Serikali iwaite kazini walimu wengine wapya 319 wa fani mbalimbali, ambapo halmashauri saba zilinufaika na ingizo hilo jipya. Tangazo hilo limetolewa jana Ijumaa Machi 21, 2025 na Katibu wa…

Read More

JK AHUDHURIA KUAPISHWA KWA RAIS MPYA WA NAMIBIA

  NETUMBO NANDI-NDAITWA RAIS Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, alikuwa miongoni mwa wageni mashuhuri waliohudhuria hafla ya kuapishwa kwa Rais mpya wa Namibia, Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah, iliyofanyika leo tarehe 21 Machi 2025 katika jiji la Windhoek. Katika picha ya pamoja iliyopigwa mara baada ya tukio hilo la kihistoria, Dkt….

Read More

Mapya yaibuka dereva Mtanzania anayeshikiliwa Sudan Kusini

Dar es Salaam. Dereva Mtanzania, Juma Maganga (45) anayeshikiliwa nchini Sudan Kusini akitakiwa kulipa fidia ya zaidi ya Sh938.7 milioni baada ya kusababisha kifo anatarajiwa kufikishwa mahakamani Machi 28, 2025. Kwa mujibu wa Gabriel Kiliki, mmiliki wa gari alilokuwa akiendesha Maganga, dereva huyo anatarajiwa kufikishwa katika mahakama ya kimila. Pia amesema mwanasheria waliyempata anataka malipo…

Read More

Kipa Mnigeria atampindua Diarra Yanga?

UNAMFAHAMU yule kipa raia wa Nigeria  Amas Obasogie,  ambaye anaichezea Singida Black Stars, sasa anaonekana kwenye uzi wa timu ya Taifa ya Nigeria na inafahamika kuwa yupo hapa nchini kwa tiketi ya Yanga akiwa anatarajiwa kuwa kwenye uzi wa Wanajangwani hao msimu ujao. Lakini takwimu zake pia zinaonyesha kuwa ni mtu haswa, akiwa ameshafanya mambo…

Read More

Simba yafanya umafia Misri, yapangua mambo matatu

SIMBA imeendelea kufanya umafia kwenye michuano ya kimataifa baada ya kumaliza kazi mapema kabla ya mchezo wao wa kwanza wa hatua ya robo fainali dhidi ya Al Masry ya Misri, huku ikipangua mambo matatu kwa mpigo. Simba inatarajiwa kuvaana na Al Masry Aprili 2, kwenye mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho…

Read More

Mstari wa mwisho wa ulinzi katika ulimwengu wa misiba ya kusumbua – maswala ya ulimwengu

Mikopo: Bryan Dozier/Picha za Mashariki ya Kati/AFP kupitia Picha za Getty Maoni na Ines M Pousadela, Andrew Firmin (Montevideo, Uruguay / London) Alhamisi, Machi 20, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Montevideo, Uruguay / London, Mar 20 (IPS) – Katika ulimwengu wa misiba inayoingiliana, kutoka kwa mizozo ya kikatili na kumbukumbu ya kidemokrasia hadi kuvunjika…

Read More