
Mhe. Dkt. Kijaji aitaka Bodi TVLA kusimamia nidhamu kwa watumishi
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) akizungumza wakati wa uzinduzi wa Bodi ya Ushauri ya Wakala uliofanyika Machi 21, 2025 kwenye ukumbi wa Wakala ulipo Temeke Jijini Dar es Salaam. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) ameitaka Bodi ya Ushauri wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania…