Msongo wa kilovolti 132 kumaliza tatizo la umeme Tabora

Dar es Salaam. Wananchi wa mkoa wa Tabora wataepukana na changamoto ya umeme baada ya kuwashwa rasmi laini ya msongo wa kilovolti 132 yenye urefu wa kilomita 115. Mradi ulianza Aprili 2024 na ulitegemewa  kumalizika Juni 2025. Mradi huo utasaidia kuchochea maendeleo katika  Wilaya ya Urambo, Kaliua na Mkoa wa Tabora kwa ujumla. Akizungumza leo…

Read More

WADAU WA MADINI TUWEKEZE MANYARA – ELISHA MNYAWI

Na Mwandishi wetu, Mirerani MWENYEKITI wa chama cha wachimbaji madini Mkoa wa Manyara, (MAREMA) Elisha Nelson Mnyawi amewataka wadau wa madini kuwekeza miradi mbalimbali kwenye eneo hilo ili kuzidi kuinyanyua Manyara kiuchumi. Mnyawi ameyasema hayo kwenye kikao cha kamati tendaji ya MAREMA, kilichofanyika katika ofisi za makao makuu yake yaliyopo mji mdogo wa Mirerani, Wilayani…

Read More

Magereza yote kuendesha kesi kimtandao ifikapo 2027

Dodoma. Waziri wa Mambo ya Ndani, Innocent Bashungwa amesema watatafuta kila namna kupata rasilimali fedha zitakazowawezesha kujenga makasha ya mahakama mtandao kwenye magereza yote nchini ifikapo mwaka 2027. Bashungwa ameyasema hayo leo Machi 21, 2025 wakati akikabidhiwa makasha mtandao 10 yaliyotengenezwa na Mahakama Tanzania. Amesema kutumika kwa makasha hayo kutakuwa ni daraja litakalounganisha mahabusu na…

Read More

Glaciers ya mkoa wa SADC kuamka? Wito wa hatua ya hali ya hewa-maswala ya ulimwengu

Glaciers huko Mlima Kilimanjaro. Wataalam wanaogopa kwamba? Katika miongo michache, barafu hizi zinaweza kutoweka kabisa, zikiyeyuka kwa kasi ya haraka. Mikopo: Shutterstock. Maoni na James Sauramba (Bloemfontein, Afrika Kusini) Ijumaa, Machi 21, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Bloemfontein, Afrika Kusini, Mar 21 (IPS) – Siku ya Maji Ulimwenguni inatuita sote kukuza jambo muhimu la…

Read More

Waliomba kazi TRA, kufanyiwa usaili hapa

Dar es Salaam. Watu 112,952 wameitwa kwenye usaili wa mchujo wa kuandika (Written Interview), baada ya kukidhi vigezo vya maombi ya ajira katika nafasi 1596 zilizotangazwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania( TRA). Februari 6, 2025, TRA ilitangaza nafasi za ajira 1596  katika fani mbalimbali, ambapo watu 135,027 waliomba nafasi hizo. Akizungumza na waandishi wa habari…

Read More

Mrundi jela miezi mitatu kwa uongo, kuvunja sheria

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu raia wa Burundi, Alex William, kulipa faini ya Sh1 milioni au kwenda jela miezi mitatu baada ya kupatikana na hatia ya kuwepo nchini Tanzania bila kuwa na kibali pamoja  na kutoa taarifa za uongo ofisi za Uhamiaji. Hukumu hiyo, imetolewa leo Machi 21, 2025 na Hakimu…

Read More

Serikali kuwaanika hadharani ‘tuma kwa namba hii’

Songwe. Naibu Waziri Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Maryprisca Mahundi amesema wizara yake kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Ndani watawaweka hadharani waharifu wa mtandaoni wanaotuma ujumbe wa maneno wa “tuma kwa namba hii”. Mahundi ametoa kauli hiyo leo Ijumaa Machi 21, 2025 katika Kituo cha Pamoja cha Forodha kwenye mpaka wa Tunduma mkoani…

Read More