Elon Musk aendelea kupigwa kwenye Tesla

Marekani. Marekani imeendelea kushuhudia wimbi la uharibifu wa mali za kampuni ya Tesla, ikiwa ni pamoja na magari na vituo vyake, sababu ikitajwa kuwa ni hasira dhidi ya Elon Musk ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa Tesla na mkuu wa Idara ya Ufanisi wa Serikali (Doge). Matukio haya ya hivi karibuni yamezusha taharuki miongoni mwa wamiliki…

Read More

RIPOTI YA MARAFIKI WA ELIMU BABATI YABAINI CHANGAMOTO KADHAA.

Na John Walter -Babati  Marafiki wa Elimu wilaya ya Babati wamewasilisha ripoti ya ufuatiliaji wa uwajibikaji wa jamii katika malezi na makuzi ya awali ya mtoto. Ripoti hiyo, iliyowasilishwa na Afisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Mji wa Babati, Benjamin Richard, inaonesha changamoto mbalimbali zinazowakabili watoto katika malezi, usalama, na mazingira ya kujifunzia. Utafiti…

Read More

Maandalizi Sikuku za Eid na Pasaka; Wateja Benki ya NBC Sasa Kupata Punguzo la Asilimia 20 kwa Manunuzi Maduka ya Sketchers, Flormar, Bottega Verde, DeFacto na LC WaIKIKI

 Kuelekea Msimu wa Sikuku za  Eid na Pasaka, Benki ya Taifa ya Biashara (NBC ) imeingia makubaliano ya ushirikiano na  Kampuni ya Hope Holding inayomiliki maduka ya Sketchers, Flormar, Bottega Verde, DeFacto na LC WaIKIKI yaliyopo kwenye jengo la Morocco Square jijini Dar es Salaam ili  punguzo la asilimia la hadi asilimia 20 kwa wateja watakaofanya…

Read More

MAJALIWA AAGIZA UONGEZAJI THAMANI MAZAO YA MISITU UFANYIKE NCHINI

▪️Asema Tanzania inayo teknolojia ya uchakataji mazao ya misitu.▪️Aisistiza Wizara kuendelea kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji wa mazao ya misitu. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wadau wa uzalishaji mazao ya misitu kuhakikisha wanaongeza thamani ya mazao hayo hapa nchini badala ya kusafirisha malighafi hizo nje ya nchi. Amesema kuwa Tanzania kwa sasa inayo…

Read More

Mtazamo tofauti uzito kuzidi kwenye mizani

Dar es Salaam. Wamiliki wa malori, madereva na wadau wa usafirishaji wamezungumzia changamoto za mizani kutoa taarifa tofauti za uzito, huku ubovu na kutofanyiwa ukarabati wa mara kwa mara vikitajwa. Hayo yameelezwa leo Machi 21, 2025 ikiwa ni siku moja baada ya Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, kuwasimamisha kazi watumishi waliokuwa zamu katika mizani kutoka…

Read More