Waeleza sababu za kuporomoka kwa ushairi Tanzania

Dar es Salaam. Wakati mataifa yakiadhimisha Siku ya Ushairi Duniani, wadau wa Kiswahili na ushairi nchini wameeleza vikwazo vinavyokwamisha ushairi nchini ikiwa ni pamoja na elimu duni na kudharau fasihi ya Kiswahili. Siku ya Ushairi Duniani huadhimishwa Machi 21 kila mwaka na siku hii ilianzishwa mwaka 1999 na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu,…

Read More

Balile, Machumu wachukua fomu kutetea nafasi zao TEF

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile leo Ijumaa, Machi 21, 2025 amechukua fomu ya kutetea nafasi hiyo katika ofisi za jukwaa hilo jijini Dar es Salaam. Balile akisindikizwa na baadhi ya wanachama, amekabidhiwa fomu na Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa TEF, Anitha Mendioza. Mkutano mkuu wa uchaguzi unatarajia kufanyika…

Read More

Wasioendeleza visiwa kunyang’anywa Aprili 7

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema ifikapo Aprili 7, 2025 wawekezaji ambao walikodishwa visiwa vidogo lakini hawajaviendeleza watanyang’anywa. Kauli hiyo ni mwendelezo wa zilizotolewa awali kwa nyakati tofauti na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi na Rais Samia Suluhu Hassan alipofungua hoteli ya Kisiwa cha Bawe, Unguja wakati wa shamrasharama za sherehe za…

Read More

Samia amuuma sikio Rais mpya Namibia

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema umoja na mshikamano ndiyo silaha pekee itakayoiwezesha Afrika kuzikabili changamoto zinazoendelea katika mataifa yake, ikiwemo vita vya wenyewe kwa wenyewe. Amesema Afrika ya sasa imebaki kuwa na mataifa ambayo mipaka yake si salama tena na hata dhana ya ujirani mwema imezidiwa na migogoro ya ndani. Kauli hiyo…

Read More

Ripoti yaibua mapya taka zinazooza Dar

Dar es Salaam. Wakati ripoti mpya ikionyesha asilimia 63.4 ya taka zinazozalishwa jijini Dar es Salaam ni zinazooza, wadau wameshauri kampeni za kukabiliana nazo ikiwa moja ya njia za kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi. Taka hizo ambazo kwa kiasi kikubwa zinatokana na mabaki ya chakula na matunda, zinapooza hutoa gesijoto kama methane na kaboni,…

Read More

Ripoti yazinduliwa kukabili ukatili Zanzibar

Unguja. Ofisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar imezindua ripoti kuhusu ukatili wa kijinsia, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuundwa kwa sheria kamili inayoshughulikia tatizo hilo. Akizungumza katika uzinduzi wa ripoti hiyo uliofanyika Mjini Unguja leo Machi 21, 2025, Naibu Mwanasheria Mkuu Zanzibar, Shaaban Ramadhan Abdalla amesisitiza umuhimu wa kuwa na sheria moja itakayohakikisha lengo la…

Read More

Sheria maalumu kukabili changamoto za wazee

Morogoro. Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Mkoa wa Dar es Salaam, Salim Matimbwa amesema changamoto za jumla zinazowakabili wazee zinatokana na kukosekana kwa sheria maalumu itakayosimamia ustawi wa wazee. Matimbwa ameyasema hayo mkoani Morogoro kwenye mafunzo yaliyoandaliwa na shirika lisilokuwa la kiserikali la HelpAge kwa lengo la kuelimisha wazee namna ya kujua haki na wajibu…

Read More