Watanzania wakubali huduma za afya, wataka maboresho

Watanzania saba kati ya kumi, sawa na asilimia 68, wanaridhishwa na  jitihada za Serikali katika utoaji wa huduma za afya hata hivyo wametaka nguvu kubwa iongezwe katika uboreshaji wa huduma hizo. Hiyo ni kulingana na utafiti wa Afrobarometer kuhusu Afya ya Jamii nchini Tanzania uliofanyika mwaka 2024 na matokeo yake kutolewa Machi mwaka huu. Akizungumza…

Read More

Chama, Musonda waendelea kutamba Zambia, Mutale amwagwa

Licha ya kutopata muda mwingi wa kucheza katika kikosi cha Yanga, kiungo mshambuliaji Clatous Chama na mshambuliaji Kennedy Musonda wameitwa katika kikosi cha Zambia kwa ajili ya mechi ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya Urusi, Machi 25, 2025 jijini Moscow. Kocha Avram Grant ameteua kikosi cha wachezaji 19 kwa ajili ya mchezo huo akiwajumuisha Musonda…

Read More

Aucho, Dube mambo magumu, Diarra kicheko

Kuanzia Jumatano, Machi 19, 2025 hadi jana Alhamisi, nyota nane (8)  wanaocheza timu tofauti za Ligi Kuu Tanzania Bara wamekuwa wakizitumikia timu zao za taifa zinazoshiriki mashindano ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026. Katika mechi zao hizo baadhi zimepata matokeo mazuri, nyingine zimeondoka na pointi moja moja na kuna zilizoangusha pointi zote…

Read More

Lissu afunguka alivyokomaa Angola, asema mkutano ulienda vizuri

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amefunguka namna alivyokomaa Angola hadi akahakikisha ameshiriki mkutano wa siku tatu ambao ulikumbwa sitofahamu baada ya wahudhuriaji kutoka nje kuzuiliwa uwanja wa ndege. Katika mazungumzo yake na Mwananchi Lissu alieleza sababu za yeye kuendelea kusalia nchini Angola, licha ya baadhi ya viongozi…

Read More

Aliyehukumiwa kifo kwa kumuua mkewe aachiwa huru

Arusha. Mahakama ya Rufani imemuachia huru Masenga Mwita, aliyekuwa amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia ya kumuua aliyekuwa mkewe, Joyce Julius. Masenga alihukumiwa na Mahakama Kuu Kanda ya Musoma, Julai 15, 2022, kutokana na kesi ya mauaji iliyokuwa ikimkabili. Katika kesi hiyo, Masenga alidaiwa kumuua mkewe Februari 9, 2019 katika Kijiji cha…

Read More

Fadhila na utukufu wa Lailat al-Qadr

Neno Lailat al-Qadr (Usiku wenye cheo) linajumuisha maneno mawili: (Lailah) likimaanisha kipindi cha usiku kutoka machweo ya jua mpaka alfajiri ya pili, na (Al-Qadr), lenye maana kadhaa, zikiwemo heshima, hadhi, na ukuu. Hivyo, Lailat al-Qadr ni usiku wenye heshima na taadhima kwa sababu ya kushushwa Qur’an ndani yake. Qur’an ilishuka kwa jumla hadi mbingu ya…

Read More

Tanzania Prisons hadi huruma Ligi Kuu

LIGI Kuu Bara ikiwa imesimama kwa muda kupisha kalenda ya FIFA, huku Yanga ikuiwa kileleni mwa msimamo ikiwa na pointi 58 na mabao 58 ya kufungwa, ikifuatiwa na Simba, hali ni mbaya kwa Tanzania Prisons, kwani yenyewe ndio timu yenye safu butu ya ushambuliaji katika ligi hiyo. Maafande hao wanaoshikilia nafasi ya 15 katika msimamo…

Read More