Bosi wa usalama Israel afutwa kazi, Hamas watajwa

Tel Aviv. Baraza la Mawaziri la Israel limeidhinisha kufukuzwa kazi kwa Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (Shin Bet) huku maandamano yakiibuka upya kupinga uamuzi huo wa serikali. Ronen Bar ambaye ameiongoza Shin Bet tangu 2021, atatakiwa kukabidhi ofisi Aprili 10, 2025 ama kabla ikitegemea wakati gani mrithi wake atakapokuwa ameteuliwa. Al Jazeera imeripoti…

Read More

TTCL yapewa siku 30 kuboresha mawasiliano mipakani

Kyela. Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi ametoa siku 30 kwa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kuboresha mifumo ya mtandao katika mpaka wa Kasumuru unaotenganisha Tanzania na nchi jirani ya Malawi. Hatua hiyo imekuja baada uongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika mpaka huo, kulalamikia changamoto hiyo kwamba inaathiri…

Read More

Hizi timu zinashuka Ligi Kuu Bara

ZIMEBAKI mechi saba za kujitetea kwa timu mbili kuepuka kushuka daraja kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu huku takwimu zikionyesha zina kazi kubwa ya kufanya. Timu hizo ni zile zinazoshika nafasi ya 16 na 15 ambapo kama msimu ukimalizika zikiendelea kubaki hapo, basi zitashuka moja kwa moja kama ambavyo Kanuni ya 6(2) ya Ligi Kuu…

Read More

Aliyeizima Simba achana mkataba Coastal Union

UNAMKUMBUKA aliyezamisha jahazi la Simba ikiambulia pointi moja dhidi ya Coastal Union kwenye Uwanja wa KMC,  si mwingine namzungumzia Abdallah Hassan amemalizana na uongozi wa timu hiyo baada ya makubaliano ya pande mbili. Simba ambayo ilikuwa timu mwenyeji wa mchezo huo wa ligi walitangulia kwa mabao mawili kipindi cha kwanza kutoka kwa Mohamed Hussein ‘Tshabalala’…

Read More

MAREMA KUFANYA ZIARA KWENYE MATAWI

Na Mwandishi wetu, Mirerani CHAMA cha wachimbaji madini Mkoa wa Manyara (MAREMA) kimepanga kuanza ziara ya kutembelea matawi yake saba kwa ajili ya kusikiliza kero, changamoto na mafanikio waliyonayo. Mwenyekiti wa MAREMA Elisha Nelson Mnyawi ameyasema hayo kwenye kikao cha kamati tendaji ya MAREMA, kilichofanyika katika ofisi za makao makuu yake yaliyopo mji mdogo wa…

Read More

WALIMU MANISPAA YA SONGEA WAMPONGEZA RAIS SAMIA KULIPA VIWANGO VIPYA VYA MISHAHARA

CHAMA cha Walimu Tanzania(CWT) Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma,kimeipongeza Serikali ya awamu ya sita,kwa kuruhusu walimu kupandishwa madaraja kwa wakati,kupata daraja la mseleleko na kulipa viwango vipya vya mishahara. Pongezi hizo zimetolewa jana na Katibu wa Chama hicho Neema Lwila,wakati akisoma risala ya Walimu kwenye Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Manispaa ya Songea uliofanyika…

Read More

Benki ya Stanbic Tanzania yafuturisha wateja wake

 Katibu wa Baraza la Ulamaa Taifa, Sheikh Hassan Chizenga akipokea zawadi kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Stanbic, Manzi Rwegasira katika Iftar iliyoandaliwa na benki hiyo jana katika Hoteli ya Serena. Kushoto ni Fredrick Max, Ofisa Mkuu Idara ya biashara benki ya Stanbic na kulia ni Omari Mtiga, Mkurugenzi wa wateja binafsi benki…

Read More

ASANTE SANA RAIS SAMIA – DC MPOGOLO.

Zaidi ya kiasi cha Shilingi bilioni 300 zimepokewa na kutumika katika ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo Wilayani Ilala,  katika kipindi cha Serikali ya  awamu ya sita  ya Dokta Samia Suluhu Hassan. Hayo yamesemwa na Mkuu wa wilaya ya Ilala, Mkoani Dar es salaam, Edward Mpogolo, alipozungumza mara baada ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo…

Read More